True Boya Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2017
Lyrics
True Boya - Msodoki Young Killer
...
Afu me naitwa young killer msodoki “sawa eeh sio young killer mthodoki
“Bi ladeni …”
Mwaga ruka giza tulia chini , manzese
Kule atokapo rais wa wangese , usinichekeshe
Nikaona bado ujakuwa siku utakayo jua hujui ndio siku utakayo jua ya kuwa
Una mambo ya kishosti leten ugali plan
Maana mwana amerost , upinde wa uwakika
Yeye akazie alipo shika kwanza msaada wake
Kwangu si umebaki wa kunizika , hana kali
Hana Jipya msipagawe hana dooh !
Una leta ugomvi wa mawe akati unaishi
Kwenye nyumba ya kioo
We bishoo kwenye huu mwamba utatosha
Kakuambia nan kwamba kila mshamba n ngosha
We rofa number one huwez chill na si kasema nan pengo la zilla n bill nass
Hamna ….?? Mpigeni mwingine mikwala hii
Ndio saloon inayo suka vipara
Umeibuka kusema sema wenzako et flan
Ameshuka we pambana na hari yako
Nimetoka mwanza nimeagwa mpka na sato
Sasa kama utakuwa hunioni hadi mmi si utakuwa hauna macho
Umebugi si kitoto safari yako kama chizi
Kwenda umbali mrefu na kurud na makopo
Muyaudi mwenye voko young kille haugopi
Si ndio yule asie na swagger msodoki
Ney mwenyewe tahabani hapo zinapo ongea
bange mtoto wa kiume gani anae chamba
Kuliko mange
Ukinitafuta niko mbezi upepo unapo vuma
Na mlango upo wazi ukifika we sukuma