Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2022

Lyrics

Ngosha - Msodoki Young Killer

...

Now I feel great

Ukigusa upanga mmoja mbugu chini

Tuna celebrate hadi mwisho wa mechi ni dakika tisini

Cause am a central business kwa business

Muulize izoo business na hatuchanganyi business na life

Nawaona kwenye kombe la kahawa mnatia sugar

Shetani anamuingia yuda bishoo anjitia ninda hii ni miracle

Katikati ya mbuga nachana mbuga

Kuhusu taji langu la u king kupewa ni swala la muda tu

Whatever happen make it happen hakuna kukaa kizembe

Kwa kutumia ulimi usiupime ukali wa wemb

Ni kunyata umevaa moka surprise itaexpire

Anaeyejitia mwema kwa watu huyo ni mbaya

Nahitaji android sio twenty kama percent

Music we get barred while skills is ma parent

Nayoongea ni talent so you need to be silent

Hii ni big ilivyo biggy like Christopher wire

Haswa nawanywesha dawa kwa nguvu nimeona ni wagojwa

Sugu nikikosa pilipili kwenye supu naeka upupu

Ukitaka chuku ni chuku, ukitaka tupu ni tupu

Kwenye ulingo wa ngumi watu wamebeba mitutu

Baada ya blessing, mipango na cahsing

Ni hoja na sense waambie mtaa wa pili

Wafunge geti na washushe neti

Ma life is colourless, snitch you can't define me

Na siabudu salary cause things don run we

Bro, ukimess na mimi sikwepeki kwa kumvuta

Huezi saidia mtu aliyekanyaga breki

Unaeza kua unajua kusoma na kusomeki,

Ila haimanishi kua ety ukijua kuchora hauchoreki

Rabbana khafil dunia il khasannah

Ya allah utubariki usiku na mchana

Tuongoze kwa kila kitu ambacho tunafanya

Kwa maana mbele yako hakuna linaloshindikana, amen

I gat more rhymes haziesabiki hata kwa sense

Usipagawe na bling haitoshi ukiniita gangster

Bila mbolea tunastawi hatuhitaji mizoga ila akiingia

Mchawi kila abiria chunga mkoba

Mapenzi yamegeuka filam ma sister du wanna act

Usiamini akitabasamu utaachwa lonely na haumpati

Mashindano yanapotosha alafu washindi wana pangwa

Ni kama tusemavyo ngosha kua hizi propaganda

Zingatia vita huezi toa kwa ncha ya mshale

Itakua ni zaidi ya mambo ya kale

Asa dua zitawale kwa mishe ya hapa na pale

Ili mvua ikimwaga maji si tuohoze kama kambale

Yo, siku huisha kabla ya kuanza yaani mungu ndio ana panga

Fwata ili ujue njia ukienda mwanza usitokee tanga

Asa karibu mwanza niwafunze ukamanda mkinkuta twende sambamba

Muone miamba ilivyotanda kama ukutaa

Haya kama unataka kua kua kua nasi kua kua tayari wote

Yani mikono juu yani kaa kaa taayri oye hae hea

Haina baadae haaa

Sa twende twende twende sasa (do you remember me?)

Kwenye ulingo wa ngumi watu wamebeba mitutu

Ehhh bwana

Translate to English

More Lyrics from Msodoki Young Killer Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status