A New Girl Friend Story Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2020
Lyrics
A New Girl Friend Story - Msodoki Young Killer
...
young killer msodoki
.....
A New girlfriends
yohw dar pro
yoo what'sapp bro
inakuaje my G
dar fresh mbona usiku mzee
yah sure,sorry sana mwanangu nina kipengele Huyu demu wangu mshikaji wangu ni changamoto
what happening
tunaweza tukaongea kidogo hapo
yaeh for sure
ok
uyu Demu kila siku ana bol mtu flani wa usiku ndoto zake ni kuishi Singapore ana shepu na vimacho vya goroli na akicheza kidogo ana sweet atasema masukuma matorori
ana zimia sana mapicha ya kusnap yaku post ya kulike na kucoment dady ana chuchu saa sita kifuani amakatika
anapo pita maboss wote (OMG )
alivyo niona aliwaka ila mwisho alizima
maana niliomba mechi akinipatia mtima
yaan niliomba nusu aka nipatia nzima
safar iki anzia mwanza naimalizia China
kila party ana fungua shimpeni usipo kwenda complain yaan home apakaliki no gain all day but no pain no gain nikajifunza akawa akinipa kitchen nampika mpaka naunguza namwosha nasunzaa utani napunguza na namcare kama mgonjwa unaweza sema naunguza marashi namnyunyuza umbeya ananijuza nachochea ukuni uku speed ikiwa 100 napunguza
juzi akavurugwa na mashositi wali msnap Waka post akiwa ndani ya dela haja jikoki kavaa ndala akabeba na pochi wigi alisahau kwenye kochi katoka kaa robot
ukweli nampenda anipenda Yuko tayari kwenda napokwenda ila siwezi kwenda anapo kwenda beki mzuri ila golini naona chenga Mtoto wa geti ila kila club member
kinacho nichangana ni muda anao patikana namkuta kachoka sana alafu anasingizia gym
asa mwanangu jana kuna kosa kalifanya na ule mda wa kuvutana me nika kimbilia simu yake nimekuta vitu vingi vya ajabu uwezi ata ukahesabu unaweza ikawa ndiyo sababu ya mikosi na tabu na si kimpatia azabu siku mshitakia kwa babu wala sija waambia wanangu laka boss
ndo nimekuta aki sex na trainer wake SMS ya designer wake ana stress akalale kwake kamiss amfate kama ni mkongo apake kama ni shombo akate yaan akifika ni mate na makiss(noma mzee)
najua ni ujinga na upuzi ujana naujuzi inabidi ayatambue haya mapenzi anapenda sana movie nimejaza ndani ila kutulia ndo awezi
....
... sad story bro
yeah for sure inaumasana yaan nimemkabizi ng'ombe anilindie majani mwanangu.
kwani we saa hivi uko na yee Yuko wap.
..,.. me ndo natoka Mishe Mishe, niko kwenye gari lakn ye naambiwa hata home bado hajafika.
ulisha wahi kukaa chini kuongea nae.
sikuwahi kumwambia lakini kwa hatua aliofikia hii lazima nimchane.
bora uongee nae tu.
niseme nae uongo.
ongeanae mueleze ukweli.
OK thanks let me do it my G.
ok poa.
OK OK.
.........
(hello baby)
ukweli ni kwamba ushamba umwamba najua kila mbuzi anakula urefu wa kamba namjua mpaka mpuuzi anae kula tunda na ganda najua kuwa juzi ulikua casino na ambar
wembamba wa reli ila train inapita unadanga unakwenda Tanga na pipa mapeded'je wana kita na mna piga mapicha ukilizwa me nani unajibu your my sister ok ma sister unachamba kwa kulia au kushoto mbona unaswim maji ya ugoko una nilitea utoto unanirudia Asubuhi na vikopo umajaza mkorogo na vipochopocho ulipo toka mototo kwa watu makatiri na ulivyo kuwa mwepesi utazani tebo ya pili unanijaza masitress muda wote una safir hayo ni mapenzi au kuchoshana akili.
enhe
nineno moja tu ninalotaka unanipenda au haunipendi basi nijue moja tu kuliko nalia na mapenzi daily nasikia juzi unajiachia na sele na wakija kwako wana weka pesa mbele kama sina hadhi niambieh boo
mbona unaniletea maradhi na kutesa juu kuni kondesha tuu na kuni komesha tuu na kuni cholesha juu
...
(she crying)....
baby am so sorry siwezi kuludia tena
please nisamehee...
.........
till i love you.........
.....,,........,,.......,,........,,........,,........
.............