Umenipata Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Umenipata - Msodoki Young Killer
...
EEH BWANA
You know what i did it
You’re ready know what release
Please haaa squeeze
Ukiona manyoya jua kashaliwa yani paka kasizi
Paka ka freeze si alitaka ndizi oouuuuh
Si wana penda ku bang
Usiombe tutimbe na gang
Tukija na gang ni shari kamili
Hiyo sio nusu shari baada ya ku drunken master kama Jack Chien aauuuuh
Walitaka habari mana muhutasari washa upata
Yani kama home mbali uko na bebe kali unapinduka hata kwenye kichaka
Umetoka mbali unakwenda mbali yani hapo time ndo ina matter
Yani mtafutaji ndo huwaga hachoki na siku akichoka kashapata
Umenipata pata yani palipo gundi ndo tuna nata
Uwanja mpana tuliza ball tupige story hakuna matata
Usihofie watu kukukosa hakikisha tu wewe umejipata
Na lengo letu ni kunyoosha hata kama papo pa kukata
Umenipata pata yani palipo gundi ndo tuna nata
Uwanja mpana tuliza ball tupige story hakuna matata
Usihofie watu kukukosa hakikisha tu wewe umejipata
Na lengo letu ni kunyoosha hata kama papo pa kukata
Waza yangu ushindwe fanya yako
Pita njia zangu ije kula kwako
Nikutie hasila nikutupe dampo
Hata kama mwalimu mkuu mama ako
Nilivyo zaidi ya kamanda kwenye mission
Huwezi kuelewa mpaka uende tuition
Don’t give up... ....bisha nianzishe
Ni level tofauti kwahiyo msifananishe
Nisome kwenye map fundi wa kurap hakuna wa ku ni drop mi down
Kwenye buum baam put your hands up Chris kama Chris Brown
Watu wana bonga yani wanachonga ila mi siwazi
Wanataka wapate kitonga wamesahau mandonga ni mtu wa kazi
Umenipata pata yani palipo gundi ndo tuna nata
Uwanja mpana tuliza ball tupige story hakuna matata
Usihofie watu kukukosa hakikisha tu wewe umejipata
Na lengo letu ni kunyoosha hata kama papo pa kukata
Umenipata pata yani palipo gundi ndo tuna nata
Uwanja mpana tuliza ball tupige story hakuna matata
Usihofie watu kukukosa hakikisha tu wewe umejipata
Na lengo letu ni kunyoosha hata kama papo pa kukata
ahahaha EEH BWANA
WRITTEN BY YOUNG C NB GANG