Changes Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Changes - Msodoki Young Killer
...
Dapro on the track
EEH BWANA
ukitamani sana unapokwenda hutambui uliko
So mlichombo ambao unaokwenda mpaka fake peoples
Kupata kitu roho inapenda huwa sio simple
Tangu udogo haina kulemba kila mtaa nipo
Nauona mwanga baada ya kulijenga giza zito
Nishatambuwa kuwa mtumishi wa umma sio kijiko
Chonga hata ngenga amini kuna siku iko
Huenda pesa maua ila maua huwezi kuwa mshiko
Wanga washachungulia sana pochi yangu waone kama zimo
Wakasahau urefu wa maisha huwezi upima kimo
Yani huwezi bisha muumba baba akishatia wino
Kwetu tukikosa imo kila nikigusa imo
Street bifu na watoto wa geti ndio ilikuwa itikadi
Kwenye kumi na nane wakijiseti nawaletee ufisadi
Start from the bottom nam here
Since miaka kumi mtu namajukumu kama mia
Huzuni ikizidi jua kuwa neema inakalibia
Wahuni tuliotumwa na kijiji kuisaka lupia
Oooh yeah Ukila lost usiteme
Aliesema life is too short hakuongelea umeme
I know the time is changing
I know the things change
Coz no one knows about tomorrow
I know the time is changing
I know the things change
Coz no one knows about tomorrow
I know the time is changing (dear lord)
I know the things change (i just wanna say thank you)
Coz no one knows about tomorrow
I know the time is changing
I know the things change
Coz no one knows about tomorrow
Nishakesha nazo na kulala nazo sana shida
Nishaugua hadi nikapona bila kupata tiba
Tushaomba tukanyimwa hadi tuka amua kuiba
Nishatoboa sana matundu ya wale walioamua kuziba
Nishakuwa mtu wa noma kuwachezesha makida
Kama noma na iwe noma
Mtu wa kwenda na mida
Shule nilisoma na nilipanga kuja kuwa leader
Usawa uligoma ukanichoma choma sana miba
Ooouuuh one for the money two for the show
Ukisikia maisha safari ina maana let’s go
Walitaka nipambane na hali nikawaambia no
Huu ni moto wa kuotea mbali ukiegamia soo
Tangu mdogo mambo hayajakuwa simple (simple)
Na ghetto wahuni tuna usonga ugali kwa kijiko
Kulala tuna chelewa tuna jisomea disko
Na ingia class na kuzichezea sana fito
Ukisikia nimefanya balaaa ujue kuwa ni zito
Location ikisoma kitaa hujakosea nilipo
Ukisikia purukushani ujue nimevunja mwiko
Mpaka siku ambayo niliyatambua mabadiliko
Yeah
I know the time is changing
I know the things change
Coz no one knows about tomorrow
I know the time is changing (dear lord)
I know the things change (i just wanna say thank you)
Coz no one knows about tomorrow
I know the time is changing
I know the things change
Coz no one knows about tomorrow
I know the time is changing
I know the things change
Coz no one knows about tomorrow
WRITTEN BY YOUNG C NB GANG