Blessing Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2022
Lyrics
Blessing - Msodoki Young Killer
...
YOUNG KILLER MSODOKII-BLESSING
Ahahaha Dapro on the track
EEH BWANA
Haaa ukweli uko wazi haujifichagi
Usimpe kichwa panzi mzinga wa konyagi
Warembo wape zanzi na maji kwenye jagi
Wapunguze stress kisha niwape stimu wakina hug
Mungu ndo mpaji kanipa kipaji
Wana ngoja nikae kimya wanakuta sinyamazi
Yani warembo na kazi Hennessy na Zanzi
Wote watu wazima hakuna dogo wa kumtuma maandazi
Nalala na mchuchu na amka na supu
Meamka tajiri lilala kapuku
Nilizima na nguo nimeamka mtupu
Kitandani watoto wanalia kama kasuku
Oukay mimina pombe kwenye red cup
Niukimbie unyonge chapu Umenipalamia pap
Usione bado tupo top hizo ni blessing
Naona haina haja kuki close kiki happen
Ina and angelini kuwapata ni channel
Nyumba hii haiuzwi ogopa matapeli
Vibopa na cancel na maisha ni travel
Tuna enjoy thug life 2pac Makaveli
Unapanda kitandani umevaa nguo una maana gani
Akili ya kuchimba chambo kwenye rami
Hapa ukija kichwa kichwa utarudi tipwa tipwa
Kuna pombe na mademu na vitu vimepikwa pikwa
Misosi nenda kitchen
Everybody listen
Ataeshindwa chochote basi naomba njo unipe mi
Poor nenda garden
Mvinyo ukikolea hapa naona wakala wengi mpaka sijui pakutolea oooh yeeeeaaaah
Sijasema watu wameiba
Wakati nawe ushakula vya watu umeshiba
Wengine akili zao ni fyatuu utapigwa
Na kutoa upepo yani kama pancha utazibwa
Yani utapigwa hatariii
Makofi na makabali
Utaendaje home na dereva kashalewa chakali
Msije mkapata ajali
Mpeni vitu vi kaliii
Beleha halewi bwana mfungulie safarii
Na hatulewi kwa sababu ya stress
Kwetu hasara roho heshima inaambatana na cash
Jicho nyanya hebu tazama my face
Hapa hakuna kuchorana ka Ronaldo amekutana na Messi (GRACE)
Mi nahitaji kampani mtoto mmoja wastani
Krii mpaka maka afu tutokee kitandani
Hapo kifuatacho ni kutia mpira kambani
Ukiona umetengwa basi jua hujichanganyi
Fanya unitembezee shuka kutakucha
Mana fisi leo ninapo lala kuna bucha
Pale askari kasimama kuna pusha
Ukisikia blessing tayari zimeshushwa
Mwambie baunsa asilete nyama za sambusa
Apambane mana kuna baby mama hazijaguswa
Haone huku vimini na flana vinashushwa
Kifuatacho ni kupambana tu na rushwa
Mmh macho zigi zigi za nigga za wizi wizi
Baby yuko na miii yani kujigi jigi
All night all right all right all night all right ooouuuuh
Hahahah EEEH BWANA
UJUE MI SINAGA SWAGA KABISA ANI
WRITTEN BY YOUNG C NB GANG