Go Ahead Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2023
Lyrics
Go Ahead - Msodoki Young Killer
...
Yeah
Msodoki the son on the building
Leo
Umbwa achane uvusha mipaka
Naizo pumba Sahani moja
Lazima tule huu mwaka
Naluka tik taka
Kipa uwezi Nyaka labda ujoin tu uwe Chama kama mwamba wa lusaka
Visit your memory weka Seso iwe hai
Ngombe wa maskin Atazaa kama mbwai iwe mbwai
Mwana jeshi nsio na gwanda nilio apishwa maji ya kalai
Na huu ni mfano tu siwezi kuvunja kwa Shoka mayai
Na ujinga ni wakati wa kwenda sio kurudi
Mtu anakesha kama bundi familia zinapata food
Kila atua dua hakuna alie Kaa tu ikawa gudi
Siku zote mafanikio uwenda na juhudi
Nikanyage baati mbaya nkuripue makusudi
Usipo leta Unafala sina ubaya welcome to my hood
Na ukija kwenye hisabati Michano ndo umebugi
Mistari ni mingi yani ata zaidi ya ndevu za wayahudi
Take my time listen to me niku teach zaidi ya veta
It’s my crown give to me au mpaka nikuite heater
Over and over again mambo ubadilika na ambacho hakipo ndicho ambacho kinahitajika
Oh yeah
Go ahead. Go ahead
Haina Aja ya kusimama we go ahead
Go ahead watu wanakutazama we go ahead
Go ahead
Wengi wanataka dawa na sio tiba
Mwili wangu una power iliyo shiba
Mvivu haishi kulia shida
Jua umekula hasara Kama umeshiba faida
Uu ndo ujana na ujuzi Msodoki anakinukisha Kama Choo cha wanafunzi
Kubali kataa hii ni voice ya mtaa
Wazo bora harialibiki Kama nguo hisio na utunzi
Ukilewa sifa utaisha kabla ujaanza unaweza ukachonga kinyago na hikakutisha amini kwamba
Ujuzi wa fitna shine bila ya pamba
Na ukigusa tu unanasa Kama waya Usio na gamba
It’s my time listen to me nikuteach zaidi veta
It’s my crown give to me au mpaka nikuite heater
Over and over again mambo ubadilika inaweza ingia ata chooni ukatoka una Wazo jipya
Akili kwenye kichwa usije ukatufelisha
Ugonjwa wa nyumba yenye mlango wa ufahamu aina dirisha
Yani unaweza ukafika mwisho afu ujui uanzie wapi kama unataka mashiko muulize Khadija anakopa wapi
Go ahead
Go ahead haina aja ya kusimama we go ahead
Go ahead
Watu wanakutizama we go ahead
Go ahead haina Aja ya kusimama we go ahead
@jovingeniuss@gmail.com