Jana Na Leo ft. Stamina Shorwebwenzi & Quick Rocka Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2015
Lyrics
Jana Na Leo ft. Stamina Shorwebwenzi & Quick Rocka - Msodoki Young Killer
...
Classic sound
De classic
Money
Yoo
So kila young ni killer uwezo utajieleza
Na so kila sharobaro imeandikwa atafia muheza
Vaa pendeza nenda disko cheza ila mwisho utambue mkufu hausimami hata ulishwe pweza
Nipe kipaza msodoki kama unaitaka shughuli
Nlipotoka kuna noti vipi nsote na sifuri
Lock nyeti zako kwa kifuli acha kiburi we demu unaelia huku unaikoki pistol
Ya duli
Zile za kubuni au kukopi na kupesti mi muhuni ambaye toka vidudu nalala gesti
Usijaribu kutest kwa mwanza ukinitoa mimi nafill card gondo lapa best
Hama kambi shoga maana unashangaza
Kwako inanoga ila si jakaya kakataza
Mombasa wanakuwaza amin brother kama pesa mawe jiji tajiri ingekuwa ni mwanza
Wanashangaa eti wapi natoa rhymes
Huu ndo muda wa mataila si ina maana star times eeh
Mi ni mshamba wa mwanzamwanza kwenye poli ila demu wako anipe namba
Atakusimulia magoli
I’do me kwan hata nilipo anza walisema mimi kitu gani
Siwasikii bado nasonga nakimbiza haijalishi natoka city gani
Aaa am so yeyeye
Young killer mwanza mwanzaa
Wowowo stamina moro town
Aaa am so yeyeye
Mbeya city stand up
Wowo wowo
( stamina)
Yoo aah
Mnaojiita wakali hizi salamu ziende kwenu mi ndo yule mc hatari naeogopwa na bouncer wenu
Siogopi shari snitch ndis nlete kwele nina mistari mikali hadi rwanda ananionea gere
Tega kichwa ili upate mistari kwenzi na maujanja yasojificha kama lafudhi ya kizenji
Mjenzi wa tenzi naejenga jengo la urhymes vichwa panzi hawaniwezi kwa ukwezi wa hizi bumps
Dondosha chozi kama una jicho la huzuni
Hili ndo kovu la ngozi halifutiki kwa sabuni
Mziki nmeuanza kale hadi leo sijaitwa pepe
Kipofu mwenye machale naijua hadi chuma ulete
Pusha kaa mbali mentali sivuti kushi nna mistari mikali hadi george anarudi bush
Beki umechoma timu yetu hatukupi ndondo
Daily narusha mangoma kama nna undugu na msondo
Ndoa ngumu na mke mwema sijapatiwa japo mke wa mtu sumu ila gheto nna maziwa
Siuzi kwa loss ila loss inanipa lecture
Bongo jua la utosi hadi juma anakosa lecture
’do me kwan hata nilipo anza walisema mimi kitu gani
Siwasikii bado nasonga nakimbiza haijalishi natoka city gani
Aaa am so yeyeye
Young killer mwanza mwanzaa
Wowowo stamina moro town
Aaa am so yeyeye
Mbeya city stand up
Wowo wowo
(Killer)
Yoo
Mi nna moyo wa young killer sina moyo wa subira
Shule sijawahi kufunzwa kwa chief ni Q chillah
Nizoom kwa taswira verse zina hasira
Wengi wanaobebwa mwishoni ndo wanachezwa kama mpira
(Stamina)
Wana ukubwa wa miili akili size ya diclopal
Uzito wangu wa mashairi haushushwi kwa chupa vodka
Njiti wa vina nlikua bila malezi
Mc’s wengi wa kichina bado wana ufeki wa tenzi
(Killer)
Ukiwa shujaa kama young killer kuwin master watu wanalia njaa hadi mwembechai hakuna breakfast
Nagawa tenzi na washenzi hawanipati
So naangaika kuwa na ujenzi eti kisa nakula bati
(Stamina)
Sitemi kimombo hii ni bomo yenye part
Inakuwaje urudi kongo huu ndo uboro wa kimang’ati
Beat inavuja damu nimeibaka bila huruma
Mziki vita ya kalamu ni mwiko kurudi nyuma
Ukiniacha tunda mnafki utakula maganda hata ukifa umelala hauwezi kuzikwa juu ya kitanda
Sijilindi na ustaa najikinga na ukimwi naogopeka kila mtaa kama lizindi na zimwi
I’do me kwan hata nilipo anza walisema mimi kitu gani
Siwasikii bado nasonga nakimbiza haijalishi natoka city gani
Aaa am so yeyeye
Young killer mwanza mwanzaa
Wowowo stamina moro town
Aaa am so yeyeye
Mbeya city stand up
Wowo wowo