Hunijui ft. Ben Pol & Dully Sykes Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2018
Lyrics
Hunijui ft. Ben Pol & Dully Sykes - Msodoki Young Killer
...
...hahahheh.!!.. bin laden
ooho....ohoo..oohhh
wanene!!....
hah..hha ..haha!..,,
mwenye macho aambiwi tazama askari!
we kipusa nipitie mbali...
Ya musa mpe musa haya muhusu kaisari, kila mchezo kwangu final magumu uyapitii peke yako we! akuna ambaye hajatoka mbali...
so usiniletee presha na kwere, mipango bila pesa ni kelele...
Mwanasesere ongeza kunitukana maana una muhukumu kifo mtu aliyetaka kujiua ikashindikana nishasema mama binadamu wabaya!!
haisia anaeza ziba mdomo alafu akajifanya hasikii!!!
dull and killer) Ndo vile tunaishi nao mikunjo ni nembo yao na lengo kupiga bao... aaanh!
killer) vizuri havitaki pupa, vinataka simple!!..
Sio leo kesho kuanguka me bado nipooo!! Napata nachotafuta, nakosaje dikooo!! Nimwendo wa kuvunja fupa mana meno ikoooo!!!
wacha maneno ghoroka!!usifanye wanijua ebu wacha kuropoka. heeiii..,eti kabla sijatoka unasema unanijua hapo ndo napochoka,,,
so me na sey..,
Ben pol) eeeaa, ×3ngoma yajaa
eeeaa,×3
woo!
killer) Wasiojua dunia ni njia ambayo nikuja na kusepa, ndomaana nikilia dakik mbili (2) tu nacheka.
Najizimia ndo maana na meremeta, japo bia ndo zinanimalizia sana paper..
Ila mungu ndio aloniweka ndo atakaye nitoa!
kwa hiyo sitaki mapresha kunitia doa, nachotaka pesa tu nikae poa,
Na dhani nimesomeka and no more..! Najua ninashida zangu na kila mtu ana zake, kwa hiyo simwelezi mambo yangu mtu alioshindwa na mambo yake! me dua zangu zinanifanya nipate, kwa hiyo mambo yangu yako iko mwakee...
killer)vizuri havitaki pupa, vinataka simple!!..sio leo kesho kuanguka me bado nipooo!! napata nachotafuta, nakosaje dikooo!! nimwendo wa kuvunja fupa mana meno ikoooo!!!
dull)Wacha maneno ghoroka!!usifanye wanijua ebu wacha kuropoka. heeiii..,eti kabla sijatoka unasema unanijua hapo ndo napochoka,,,
so me na sey..,
Ben pol) eeeaa, ×3ngoma yajaa
eeeaa,×3
killer)vizuri havitaki pupa, vinataka simple!!..sio leo kesho kuanguka me bado nipooo!! napata nachotafuta, nakosaje dikooo!! nimwendo wa kuvunja fupa mana meno ikoooo!!!
.................
simpleee!!...
nikooo !!..
dikooo!!..
ikooo!!....
creater kelvin Benson01