Nakupenda Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2023
Lyrics
Nakupenda - Ambassadors of Christ Choir
...
(music playing)
......
Bwana Yesu nakupenda, wewe uliyenipenda mimi
Sina chochote cha kulipa chaalingana na upendo wakooo
Ya thamani yote ni yakooo
Ata hivyo yasingeweza kuliipa
Ulotenda ni maku sanaa mimi siwezi kuelezaa
Yanishangaza, yanipita je niseme nini, bwana wanguuu
Mwanadamu nisiyestahiliii
Kunipenda hata kunifiia,
(he bwaaaana)
Bwaana weetu, eeh Mungu wetuuuuu
Twasimaama mbele zako bwanaaaa
Tumekuuja kukushukuru bwanaaa
Na kukusiiifu usifiwe mileleee (ewe bwaaaana)
Bwana wetu, eeh Mungu wetuuu
Twasimaama mbele zako bwanaaaa (tumekuuuujaa)
Tumekujaa kukushukuru bwanaaaa (na kukusiiiifu)
Na kukusifu usifiwe mileleeee
Ungeweza kutojali mwanadamu akaangamia
Kwa kuwa yeye ndiye aliitenda dhambi sio wewe bwana
Ungeweza kumuumba mwengine
Mwenye dhambi, usimkumbuke teena
Lakini kinachoshangaza maamuzi yako ni kinyume
Uliamua kumpenda yule yule-ambaye hapendeki
Eeh bwana tuseme niiiniii
Pendo lako limetuzidi (eh bwaaana)
Bwana weetu, eeh Mungu wetuuuu
Twasimaama mbele zakoo bwanaaa (tumekuuuja)
Tumekuuujaa kukushukuru bwanaaaaa
Na kukusiiifu usifiwe mileleee (ewe bwaaana)
Bwana weeetu, eeh Mungu wetuuuu
Twasimaama mbele zako bwanaaa
Tumekuuja kukushukuru bwanaaa
Na kukusifu usifiwe mileleee
(music playing)
Ndugu yangu fikiria sana pendo hili la thamanii
Tutapataje kupona tusipolijali pendo hiloo
Kila jambo limewekwa waazi
Karibia msalaba waake
Ebu njoni twende kwake tuzitubu dhambi zetu zotee
Hatuna muda tena ndugu, pendo hili lisipite bureee
Ni salama mikononi mwaakeee
Mtetezi tena ushindi wetu (eh bwaana)
Chorus
Bwana weetu, eeh Mungu wetuuu
Twasimaama mbele zako bwanaaa (tumekuuja)
Tumekuuja kukushukuru bwanaaaa (na kukusiiiifu)
Na kukusiifu usifiwe mileleee (he bwana, he bwana, he bwanaaa)
Bwana weetu, eeh mungu wetuuu (ooh twasiimama)
Twasimaama mbele zako bwanaa (Tumekuujaa)
Tumekuuja kukushukuru bwanaa (na kukusiiiifuu)
Na kukusiifu usifiwe milelee (ewe bwaana)
Bwana wetu (ewe bwaana) eeh Mungu wetuu (wooo woh)
Twasimama mbele zako bwana (tumekuuuja)
Tumekuuja kukushukuru bwanaa (na kukusiiiifu)
Na kukusiifu usifiwe milele