Loading...

Download
  • Genre:Afrobeats
  • Year of Release:2019

Lyrics

Ipo Sawa - Nay Wa Mitego

...

Yeah, the True Boy

Is in the building

Its a 966 baby

Leo tuna kazi ya kufanya

Maana naona mmejisahau sana

(Free Nation, Bin Laden)

Leo nitaongea sana na pia nitawakumbusha

Maana mimi na nyinyi ni kama teja na pusha

Mikono juu kama kweli we ni soldier

Hii ni ishara ya kwamba tuko pamoja

Hivi unajua mzee baba?

Huku Nenga na Nandy wamerudisha mahaba

Wamerudisha mahaba?

Madem bwana?

Tufadhili mbuzi maana utamla mchuzi

Naweza kumsomesha na akakuletea makuzi

Yuko wapi Dogo Aslay nyimbo siziskii tena

Vipi kuna figisu baba mdogo wapi unakwama?

Janjaro tangu uwachike ni kama kaacha mziki

Sijui stress za Uwoya ni mwaka je katoa hit

Nipeeni namba ya Wema nimshauri cha kufanya

Muda wake umeshapita ila Steve anamdanganya

Bahati haiji mara mbili cha kufanya auze nyanya

(Auze nyanya?)

Haiyee! Mbeya City whatsup? Ipo sawa!

Wazee wa mitumba mnasemaje? Ipo sawa! iyee

Dar City whatsup? Ipo sawa!

Wazee wa Nondo mnasemaje? Ipo sawa! iyee

Kando ya ziwa haha Ipo sawa!

Kusini kaskazini mnaionaje? Ipo sawa! iyee

Moro town warrup? Ipo sawa!

Bajaji, boda boda mnsemaje?

Yoh, namuua nyani huku namtazama usoni

Ulitaka pipi nawapa nyongeza koni

Sihitaji rafiki sababu sipendi unafiki

Siogopi jam, washikaji zangu matrafiki

Naongea na konki, hio wewe aunty konki

Unapenda kiki, unataja mashoga ka si wewe mwenyewe shoga

Ati umeokoka, umekosa hela ya viroba

001, boss toka Kenya,Gari ulilompa Dimpoz

Bro si ndo lile ulilomhonga Huddah?

Ganda la ndizi kalipata Benpol

Kasahau muziki, kaolewa 254

Zimebaki bwebwe tu, kiukweli mwana ameyumba

Sijui ni gundu mmakonde naye amechimba

Rais wa kitaa, kipenzi cha masela

Baba Yaga, kamanda nawarusha mpaka jela

Haiyee! Mbeya City whatsup? Ipo sawa!

Wazee wa mitumba mnasemaje? Ipo sawa! iyee

Dar City whatsup? Ipo sawa!

Wazee wa Nondo mnasemaje? Ipo sawa! iyee

Kando ya ziwa haha Ipo sawa!

Kusini kaskazini mnaionaje? Ipo sawa! iyee

Moro town warrup? Ipo sawa!

Bajaji, boda boda mnsemaje?

Haiyee! Ipo sawa!

Haha naomba niwakumbushe kitu

Kuna tofauti mbili ya bouncer na body guard

Yoyote anaweza kuwa bouncer

Ila sio kila mtu anaweza kuwa bodyguard

Wazee wa Nondo watsup

Wanangu wa kitaa inakuwaje

Wanasema utavuna ulichopanda

Ukipanda mahindi usitegemee kuvuna mihogo

Pumbavu wewe!

Eeeh..Baba Yaga is in the building

(Eyoo ni True Name)

Ah mbona umemsahau Menina?

Acha shobo wewe hayakuhusu

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status