Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2022

Lyrics

Sauti Ya Watu - Nay Wa Mitego

...

Hii sio sauti ya kiharakati

Wala ukombozi wa musa na fimbo yake

Bali haya ni maumivu ya mnyonge

Anaewakilisha walala hoi wenzake

Kwenye kinywa kilichokosa pakuseme hisia zake

Mmmh eee mmh eee mmm eeeh

Rais

Natanguliza samahni kwa wale ntakao wakwaza

Yamenifika hapa nimeshindwa kunyamaza

Wapo wengi kama mimi wenye sauti kama mimi

Sijui ni ubinafsi hawasemi kama mimi

Anko alisema kwamba tupo uchumi wakati

Haya tudanganyeni tena tupo uchumi wangapi

Wapigaji walotumbuliwa ndo wamerudi mzigoni

Kamladi kwa million mnataja mabillion

Hamna huruma nyinyi na sisi masikini

Hivi hiyo bajet si mngeweka hosptalin

Na huyu ndo yule binti aliemaliza chuo bila uwakika wa kazi alosomea huko chuo

Hajui atafanya nini amebaki na vyeti vyake

Anajuta alisoma nini si angejiuza ka wenzake

Panya road jina la pili la kijana asiekua na ajira

Na risasi ndo hukumu inayomfika ata asie na hatia

Huna afadhali wa maisha vyuma vimezidi kukaza

Mambo yanaharibika na wapinzani wamenyamaza

Kama ulimpenda baba huwezi muelewa mama

Na kama hukumpenda baba bado utamchukia mama

Yani kumpenda mama na kumchukia baba

Ni sawa kuipenda nyama alafu hupendi mchuzi wake

Mmmh eeeh

Mmh hii ni sauti ya watu

Na hilii giza tunaenda wapi

Tunafanya nini

Tutaishi vipi

Ata mwanga hauonekani

Mmmh eeh mmh eeh mmmh eeh

Ukiona mtoto halii njaa na nyumbani hakuna chakula

We mchunguze vizuri kuna sehem anakula

Hii ni kweli mama hali mbaya sio tandale sio masaki

Kilio chakila mtu pesa hakuna imefichwa wapi

Sikuhizi mpka vigenge vya nyanya TRA wanataka kodi

Masikin amejichanga vipesa bank anakatwa tozo

Hivyo V8 mnavyonunua si hela zetu za kodi

Naona mnaenjoy kuliko ata walipa kodi

Mnajenga hosptal madawa hakuna

Mnatujengea shule lakin walimu hatuna

Kudanga ndo kimbilio kubwa la wadada zetu

Ndo mtaji asokopeshwa hakatwi tozo wala kodi

Hivi mna akili nyinyi mnashauri tujiajiri

Wakati nyinyi wenyewe mpka sasa umeajiliwa

Acheni nafasi zenu na nyinyi mkajiajiri

Hapo ndipo tutakapo amini kweli nyie washauri wazuri

Kati ya mtawala na mpinzani

hapa muoga nani

Mtawala aliekataza mikutano isifanyike

Au mpinzani asiefanya na anajua ni haki yake

Mmh hii ni sauti ya watu

Na hili giza tunaenda wapi

Tunafanya nini

Tutaishi vipi

Ata mwanga hauonekani

Mmmh eeh mmmh eeeh mmmh eeh

Heheh bi mkubwa anapambana sana

Pengine hofu ni kuhusu swali la msingi

Kwenye vijiwe vyetu

Je vita yake na anaowaamin ni sawa

Isije ikawa ni mbinu tofauti

Heh tumerudi kule kule

Maji ya mgao umeme wa mgao

Maji hayatoki bili zinatoka

Mmh police hongereni kwa jitihada nyingi

Amsemi kwa ubaya lakini pia hamsingiziwi

Acha iendelee kunyesha tuone panapovuja

Mmh eeh mmh eeh mmh eeh mmh eeh

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status