Raisi Wa Kitaa ft. One Six Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2021
Lyrics
Raisi Wa Kitaa ft. One Six - Nay Wa Mitego
...
free nation
aah nilie simama mbele yenu
so mbunge ni msanii
nae Tumia sanaa kuitetea jamii
naongea nikiwa bongo sjakimbia kama roma
mkiniteka,mkinifunga bado dunia itasemaaaa
Nani kamwambia mheshimiwa tumekubali tozo
hapanaaa so Tanzania rabda Zambia au Congo
makato nimakubwa wananchi wanaumia
hivi ni kwamba hamsikii au ndo mnapuuzia
mishahara ya wapunge ni jasho la wananchi
spikaa naongea na wewe kwa niaba ya wene nchi
kuna wabunge kumi na Tisa walishafukuzwa na chama
chademaaaa inamaana hawana chamaaa ila bado unao bungeni na wanapokea mishahara hivi unatuchukulia aje! unatuona bongo lala
wimbo ulianza taratibu na sasa umepamba moto
unapendwa na wananchi kwa viongozi kaa la moto
katiba mpya ni sasa, katiba mpya ni sasa
wanaoimba niwananchi pamoja na wanasiasa
mafuta bei juu? ges bei juu? kila kitu bei juu?
mtatuua mwakaa huuu
created by maha breezy official