Waah Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2022
Lyrics
Waah - Dayoo
...
YeAp aah Naitwa Mangii
Oyeyee mmh mmh oyeye
Mafeeling record
A nambie unataka wapi
Nataka nikutoe baby yoo
Sinza ama masaki
nakuskiliza uamue wewe
Tena nambie basi wap hujafika baby yoo
Tukale mishikaki
mihogo yakuchoma coco beach
Usisahau na vikope kope vihereni vya kubandika baby
kama sina bora hata nikope lakini utoke chicha Leo baby
Nahilo shepu lako kama loteee ukipiga picha lazima itrendy
wakikunanga wala usiogope najua ukipendeza hawapendi
Kiukweli umewaka baby
waah waah waah waah
Baby waah waah waah waah
Na umependeza sana
waah waah waah waah
Kuanzia juu mpaka chini
waah waah waah waah
Baby ume waka waka waah waah waah waah
Uuh baby waah waah waah waah
Leo umependeza sana waah waah waah waah
Ooh waah waah waah waah
Aah wasikutishe izo mbwembwe ni ugaigai wasije wakatuloga
Ah acha waomoke shingoni watie tai
si hivihivi na tumenoga nawewe unajuaaa
kuliko we kukosa mi nitajinyima eeh
tukawatambie washua Leo tuaagize na shisha mapema tumoke
Usisahau na vikope kope vihereni
vya kubandika baby
kama sina bora hata nikope lakini utoke chicha Leo baby
Nailo shepu lako kama loteee ukipiga picha lazima itrendy
wakikunanga walaa usiokope najua ukipendeza hawapendi
Kiukweli umewaka baby
waah waah waah waah
Baby waah waah waah waah
Na umependeza sana
waah waah waah waah
Kuanzia juu mpaka chini
waah waah waah waah
Baby ume waka waka waah waah waah waah
Uuh baby waah waah waah waah
Leo umependeza sana waah waah waah waah
Ooh waah waah waah waah waah waah
Mafeeling record
Waah waah waah waah
waah waah waah waah
waah waah waah waah