Utalala Lyrics
- Genre:Afrobeat
- Year of Release:2021
Lyrics
Utalala - Dayoo
...
kiukweli mi sina kitu hali yangu kama unavyoona ni mishe za kule na huku viwalo vyangu vya ilala boma je kwel umeridhiana na mi vijora vya buku sita utavaa baby kuna maneno mengi mtaani mara nakuzeesha utaimili kweli usiropoke ukinuna ukiwa na hila we niseme ata nikiwa na hasira usijifunze kukaa na jambo moyoni litakuja lisumbue baadae utakutana na nguna je we utakula vya kulumangia ndo nazingatia msaada wa ndugu sina je utavumilia umekuja mazima we uje mazima na jee baby utalala lala usingizi mororo utalala lala kwenye bangaroo giza totoro utalala lala kesho tuamkie Kiporo nashukuru umeona unifae wakati ambao nipo juu ya mawe ushaamua nshaamua na iwe sa baadae usije unikatae kiganjani mwangu usiniponyoke tupendane wambea tuwadondoshe yani baby nishike twende wote wakikutisha nipo ivyo usiogope we kwangu zaidi ya sarafu sarafu baby kukupenda mbona sana tu sana baby na je wewe utakutana na nguna je we utakula vya kulumangia ndo nazingatia msaada wa ndugu sina je utavumilia umekuja mazima we uje mazima na jee baby utalala lala usingizi mororo utalala lala kwenye bangaroo giza totoro utalala lala kesho tuamkie Kiporo