Mungu Yuko Wapi? Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2020
Lyrics
Mungu Yuko Wapi? - Nay Wa Mitego
...
Ney wa mitego-Mungu yuko wapi
Verse1
Nilizaliwa pekee yangu na nitakuwa pekee yangu.
Muamini Mungu wako nibaki na imani yangu.
Kama kweli kuna mbingu basi nina njia yangu.
Sio baba sio mama nitakwenda pekee yangu.
Mungu hamtupi mja wake meandikwa kwenye vitabu.
Mbona shetani ametawala na waja napata tabu.
Hivi kweli huyu Mungu yupo?
Na huu mchafuko uliokataza wametawala
Hivi kweli we Mungu upo?
Wenye roho mbaya Mungu ni wewe uwepa hela.
Wanamakosa kibao na bado hatuwaoni jera.
Kuna hawa viongozi makatili na madikteta.
Wanatenda watu wanau watu
Sababu ya madaraka wanajiona miungu watu.
Mbaya zaidi hawafi haraka watu wenye roho mbaya.
Mungu ni kweli upo na unayatazama haya.
Chorus
Hivi ni wewe ni wewe*2
Sasa mbona upo kimya.
Hivi Mungu Uko wapi*2
Hivi kweli Mungu yupo?