Loading...

Download
  • Genre:Afrobeats
  • Year of Release:2013

Lyrics

Salamu Zao - Nay Wa Mitego

...

Me ndio raisi wa manzese yule tozi kasanda

Manzese mikono juu naiongoza kamanda

Wanangu nyongeni ganja msiogope polisi

Ila tu msile unga mtapoteza nafasi

Me ndio gangster rapper na kiboko ya marapper

Wanaleta ushindani mwishoni wanatoka kapa

Me natengeneza hela wao wananuka vikwapa

Eyo mchovu wape salam kubum kubam

Waambie watakufa nao mziki umebadilika

Napenda mnavyonidisi wala hamnitishi

Walap diamond we si mtoto wa kigoma

Mpe salam zitto kabwe mwambie afanye siasa

Aachane na bongofleva huku atumtaki kabisa

Maneno mengi propaganda hajui kutekeleza

Kigoma allstars tayari kawatelekeza

Naongea na ridhiwan eyi ridhiwan

We si mtoto wa rais ridhiwan

Mwambie dingi yako masela hawamuelewi

Wamakonde wa mtwara hawataki tena korosho

Wanataka gas si mtawauwa kwa mkong'oto

Nani rafiki wa Lowasa peleka salam

2015 nataka agombee uraisi

Nitamfanyia kampeni wananchi wampe nafasi


We nenda wape salamu zao

Waambie sina tatizo nao

Wakivimba wapasuke

Hizi salamu zifike kwao

We nenda wape salamu zao

Waambie sina tatizo nao

Wakivimba wapasuke

Hizi salamu zifike kwao


Sina beef na polisi Mbunge wala raisi

Hizi ni salam tu nataka tuishi peace

Mkimaindi amna noma

Sio muelewa kula kona

Hizi salam toka bongo nataka zifike kenya

Uganda hakuna matata najua ngoma inapenya

Mambo vipi ccm mnasemaje chadema

Cuf bado ngangari au tayari mshabuma

Na salamu muhimu ziende kwa watu maalum

Nani nimtume kuzimu afikishe salamu

Kwa kanumba na ngwair

Siku ya misiba yao kuna watu wamepigaa hela

Wanamiliki magari wameota na vitambi

Kwa hela za rambirambi

Kwa majina nawajua mkizingua nawataja

Msisitizie Na kanumba Baada ya yeye kufa

Na bongo movie imekufa haiuzi kabisa

Hizi salamu ziende kwa madam ritha na bongo star search

Mshindi analipwa nini mbona kama magumashi

Namuona walter chilambo kapigika kama zamani

Haji ramadhani kachoka yupo kitaani

Milion hamsini zao anazila nani

Hacheni ubabaishaji wekeni mambo hadharani

Tanzania bila uchafu kumbe inawezekana

Yoo Jakaya mualike tena Obama

Japo ujio wake kwa wengine ni lawama

Walalahoi wenzangu mishe zao zinakwama

Nani nimtume dodoma afikishe salamu bungeni

Kuna wabunge vilaza bungeni wao wanalala tu

Na wakiamka kila hoja ndio tu

Kuna vilaza part two wao matusi na kulumbana tu

Mawaziri vivuli wanakazi gani wana maana gani wana faida gani

Wabunge viti maalumu wana kazi gani wana faida gani Mbona me sielewi


We nenda wape salamu zao

Waambie sina tatizo nao

Wakivimba wapasuke

Hizi salamu zifike kwao

We nenda wape salamu zao

Waambie sina tatizo nao

Wakivimba wapasuke

Hizi salamu zifike kwao

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status