Rip Magufuli Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
Lyrics
Rip Magufuli - Balaa Mc
...
ololiloo aaaah chunchu weee
Hapo ulipo Mungu akufanyie wepesi nikitazama picha yako inanitoa machozi
ni kweli sijala kweli sijala
siamin hiki ninachokisikia ghafla
milango imefunguliwa nenda salama dua njema twakuombea ulale salama
Baba ametangulia tumuombee nasi sote tutafatia
watanzania tushikamane tupendane tuliongoze Taifa letu la Tz
Baba ndo hivyo tayari kashatangulia na sisi sote tutafatia
moyo wangu tulia Moyo tulia ndo yashatokea acha kulalama punguza kulia punguza kulia
usilie sanaa utaniliza na mimi yooooo
Rest in peace Baba
rest in peace rest in peace ×4
Magufuli
Tukikumbuka mema uliotufanyia una roho ya huruma
watu ulisaidia tulipofanya vizuri kofia ulitupatia
hospital shule zote umetujengea
Barabara za juu fly over lakin km utani leo game over
Daima tutakumbuka Baba milele tutakukumbuka ooooh
Rest in peace Baba rest in peace rest in peace
rest in peace baba rest in peace rest in peace Magufuli
Rest in peace Baba rest in peace rest in peace
......... beat.........
beats........beat...............
Mi naitwa Balaa mc moja kati ya watanzania ambao msiba huu umenigusa sana ndani ya nafsi yangu tutakukumbuka daima bwana ametoa bwana ametwaa jina lako lihimidiwe umeacha alama yako ktk nchi ya Tz Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi amina