Goroka Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2018
Lyrics
Goroka - Jay Melody
...
Naomba dua Pendo liendele, nisije nikaungua kwa maneno lipote naomba samahani makosa unisamehe, siunajua hali yangu chemeze
chorus
Mamy ridhika na goroka usije we ukanizoga na penzi letu game La nyoka angalia usije dunda ×2
minakuzimia Aaaa sana ×2
****************************************************************"""*****************************************************************************************************
usiskie maneno ya watu ukaniacha Mimi mwenziye Mimi ntapoteza jua nakuamini kelele na maneno ya fyatu usitie akilini mwenzio Mimi gugumeza sio mboga sabini wajinga hawataki nibakikissmati mi nipate raha aaa wanahanda kamati minuno ya kila saa, nisembwembwa sambati nikiwa kashua kila saa aaaa simu za za smarti mapicha za kila saa
chorus ×2