Hapana Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2021
Lyrics
Hapana - Kusah
...
KUSAH
HAPANA
mmmh! nanaa !
hata waseme nin sikuachi we ndio kwanza umepanda na chati umenidhibiti umenishika na shati..umeshinda umevunja kamati
mwenzio nimejitoa mhanga kwenye huba lako
nichap nipeleke utakavyo Mimi punda wako...
na sito shika simu yako ila shika yangu nimekubari...
hao hawafikii zako wanakusema mim sikubariii
{et wanasemaaa...}
mala unagawa kwa vipande
ooh! unakwenda kwa mparange
et sikwezi nkajipange mala nikwache ukadange...
beib mi hapana
kukuacha hapana
unachonipa hapana
kukikosa hapana
beib hapana
kukuacha hapana
unachonipa hapana
kukikosa hapana
ushangai nshakufumania ila bado nimeng'ang'ania penzi lako limenizidia ....
na mwaka huu watanizika!
siwalisema kwamba ubebeki Leo nakubeba yan kudadek
mmh! afe kipa au age beki ndo nishakua wako liwa lonely
sitoshika cm yako ila shika yangu nimekubarii....
haoawafikii zako wanaokusema Mimi sikubar
(et wanasemaa.....)
mala unagawa kwa vipande....
oooh! unakwenda kwa mparange....
et sikwez nkajipange mala nikwache ukadangee
( beib mi hapana,,kukuacha hapana
unachonipa hapana
kukikosa hapana)*2
hana lyrics by saliucy melodies
+255 627791847