Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2009

Lyrics

Danger - Fid Q

...

I am looking she is looking

I love the way she work it

She is grinding I am grinding

I love the way she is working it

Danger

Danger

Danger

Danger

Hatari hatari

Groupies wapo tena lukuki

Wapo cute zaidi yako unaweza sema mie ni mzushi

Laini kama sufi ngozi yako maufundi yako

Sina budi kuja kwako mwenzako nakuomba urudi

Sijala tangu juzisiwezi lala bila movie

Kama Fala umeniconfuse mie wala hata sina chuki

Suti hizo hapo kama ni harusi ndo unataka

Haujuti mie ni rapper hapa napata saluti

They shoot “PAAAH” I made you look

Sio love letter ni love song kwenye rhyme book

FidQ sio mtu wa juu kwa juu as you see

I can’t leave so I do love you

I am looking she is looking

I love the way she work it

She is grinding I am grinding

I love the way she is working it

Danger

Danger

Danger

Danger

Hatari hatari

I see it in your eyes

That you are the freaky type

Looking at the way your body moves

Got me in the corner of avenue

And now am thinking you some

Maybe suit got me in the corner grinding too

I do I do I do

I do the way that you move

Kama za Chinese Chiwawa hizo kucha

Upo sawa mzuka Mama

Umenivuta sana nimepagawa nitakupa flowers

Napenda jinsi we Binti ulivyo Mtulivu

Msikivu sio mvivu

Mzabibu nikinge Bandidu nisife kwa Wivu

Hakuna nitakachoguna sana itaniuma ukinuna

Nitajituma mie Msukuma kunichuna mama sio ishu

Upo sweet zaidi ya Ndizi za Kiabakari zaidi ya sukari

Zaidi ya asali na una figure flani kali

Mkulima akimeza mbegu jembe halikosi mwenyewe

Nahisi niliumbwa ili unipende yaani sio lazima unielewe

Naweza toa lakini mimi nisipewe

Mimi ninaweza taka kukuoa kwenu wakakataa usiolewe

Haujali kulala ghetto au kuzishampoo hizi Rasta

Kama dansa wa Loketto juu ya FidQ unavyokata

Upo na mimi ‘chill’ usilete usumbufu

Na wasikutishe kwa Vimini tayari ushanivisha Vicheche Proof

Ulivyonitega ili kuonyesha hisia zako

Nitakupenda zaidi ya unavyojipenda zaidi ya Mbwa wako

Nasinzia nikikuwaza japo we sio Wahu

Nakufikiria fasta moyo unakimbia kama Babuu

Nasikia siku hizi mapenzi hayaendi bila Cash

Hata kama ukimpenda mtu kama hana kitu usimuonyeshe

Na wenye nazo hawajatulia

Wanawakatia mikwanja wanawatumia wanawaacha wanawakimbia

More Lyrics from Fid Q Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status