Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2023

Lyrics

Hey bigman

Hauna vitu vingi man?

Na una move kama King man?

Na unang’ara bila bling.

jina lina ring

bigman tings


Hey bigman

Hauna vitu vingi man?

Na una move kama King man?

Na unang’ara bila bling..

jina lina ring

bigman tings




Kabla ya tik tok.. mie nina hit song nyingi

Kama kris kross..ninaenda kama big boss Fiddy

Huwa sijichoshi… wala si-force kingi

Sina mikosi.. mie ni king kong kama chiddy.. beenz

Mtoto wa mjini kama disco

Ninajiamaini mimi kabla ya mshiko

Na hii style ni kama kipofu mwenye pistol

Ni hatari akiikoki ujue ni kifo

Wenye vijicho hawakazi,hivyo maficho yako wazi.. hapa nilipo mtu kazi hawafikii

Watoto walito wanyamaze.. niko na people ile shazi.. hadi tip top mie mzazi kama Madee

wewe sio mshamba? You wanna chill with the big boys huuh

Tafuta kwanza mkwanja.. ili usiwaze kuhusu bill unapoji-enjoy

Sina chuki.. ninaomba penye wazushi nisiwemo

Nikikutusi.. ujue nimeishiwa tu maneno

Usiwe stupid.. kumbuka hata sheria ni msumeno

Ninawapa toothpicks.. Watoto watoe maziwa kwenye meno

Inawa-confuse kama lesbie mwenye upofu kwenye soko la sushi

Huu ni moto hawagusi

Kwa huu mchomoko hawanikuti

Hey shorty.. sigombanii mpira kama sina uhakika wa kupata goli.



Hey bigman

Hauna vitu vingi man?

Na una move kama King man?

Na unang’ara bila bling..

jina lina ring

bigman tings




Hey bigman

Hauna vitu vingi man?

Na una move kama King man?

Na unang’ara bila bling..

jina lina ring

bigman tings








Nimeshakula msoto.. njaa kali sikushibana

Ili kuishi ndoto zangu huwa silali mie hupigana

Na ninavyoviota kuna mahustla wanavifanya

Wanapata nilivyokosa nikaona kumbe inawezekana

Sasa sasa kama tik tik boom ninalipuka

Na sijali kama upo sitting room au ndani ya shuka

Mie ni Zaidi ya clique ya wagumu kwa huu mzuka

Pisi unataka sisi tudumu? Nitoe kwa chupa

Kiubishibishi kuishi haikatai au wewe umesanda?

Maichi ichi ichi dumbayi anga banga

Tanga tanga..kama mbwai mbwai

lambalamba chaichai

danga danga bye bye dada

Mie ni Big tymer sichuji kama Mannie fresh

Siwakomelei kama Dayna hawa groupies hawanigusi nyeti

Mke anayajua mahesabu haitafuti thamani ya eksi

Mungu wangu amejawa maajabu.. hanitupi, hunifanyia wepesi


Hey bigman

Hauna vitu vingi man?

Na una move kama King man?

Na unang’ara bila bling..

jina lina ring

bigman tings




Hey bigman

Hauna vitu vingi man?

Na una move kama King man?

Na unang’ara bila bling..

jina lina ring

bigman tings




Seh if you wanna fi stay number one fi long time.. ya afi do big man tings..ah we a run di ground

Booom

More Lyrics from Fid Q Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status