Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2019

Lyrics

Mafanikio ft. Barakah The Prince - Fid Q

...

Kila mtu anataka mafanikio..

Kujisikia nipo juu mie sitaki hizo deals

Sipendi makuu hivyo nitabaki kuwa real..

Na kila track ya Q aaah,.. Ni wazi utaifeel

Ni wazi iko full aah MZAZI ninakill

Ninamwagika kama Masika..

ninaheshimika na sio kanjibai

Kwa huu mziki wa bajaji hadi kwa washkaji wenye macadillac

Unawashika ile kibabylon.. Unauzika sana maghetoni

Ilimradi tu wawe happy more..midadi tu ila party noooo

Mkisinzia mtaniudhi nishawapa vyeo

Tuwape wapuuzi waliodai hii haiuzi haya matokeo

Safari ni hatua.. Kufika inabidi uianze

Haina kukita au kusita.. Inabidi ukaze

Ingia, ongoza au fuata njia, kukimbia ni mwiko

Kuanzia ulipo sio sawa na kubakia ulipo

Nikisema 'chini hapana' nina maana fanya unyanyuke

Na ukiamini umesimama mwana.. Komaa usianguke

Ukijituma na neema inakaribia..

Nyuma walio-give up mapema wangekaza wangeifikia

Penye... Happy.. Jitusu.. Unafki usiuruhusu

Yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu

Kibongobongo longolongo shazi

Endelea kusaka mchongo hata ukipata kazi

Tunachukiana? Ndio..

Ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio

Ongeza mbio

Sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio

Haukungoji wakati.. Ooh wewe

Zinapita nyakati..ooh wewe

Muda wako bahati.. Oh wewe

Na kughairisha kisa haupati sapoti

Ni kujificha na kuuliza giza.. Iko wapi ile tochi?

Haupati ile noti

Na wakati wa ule uboss ushapotea

Hautaki ukose? Usiache ofcoz endelea

Utafanikiwa kwa unachojua au unachofanya

Wachache ndio hutusua kwa jinsi tu wanavyoonekana

Mafanikio hayaji ukikata tamaa..

Yenyewe huwafuata wanaojituma na wale wasiosukumwa na njaa

Sipigi kila dili mipaka imezingatiwa

Sitaki kuwa tajiri ninataka kufanikiwa

Ili kuheshimiwa kwanza ni lazima ujiheshimu

Lakini kufanikiwa ni maujanja tu sio lazima elimu

Ili kuyadaka wengine hugeuka wabaya

Mafanikio kwenye kuyasaka wengine hugeuka malaya

Hugeuka was(i)o haya

Kutwa utawakuta kwa babu

Na anayefanya mambo ya maana huwa hana muda wa kuyahesabu

Kwenye kuyasaka hakikisha haufilisiki

Haupotezi maisha au vile vitu havinunuliki

Sio kama hatucheki kwasababu tumezeeka?

Nope.. Ni tunazeeka kwasababu hatujawahi cheka

Tunachukiana? Ndio..

Ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio

Ongeza mbio

Sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio

Haukungoji wakati.. Ooh wewe

Zinapita nyakati..ooh wewe

Muda wako bahati.. Oh wewe

Utumie basi... Eeeh eeeh

Una mpenzi (na) uko lonely?

Im sorry ndugu.. Haujafanikiwa

Maisha ni kama boli, magoli ndio kufanikiwa

Oooh ooh oooh..oooh.. Ndio kufanikiwa

Kila mtu anataka mafanikio...

Hhhmmm.. Hhhhmmm.. Oh mafanikio

Oh mafanikio

Kila mtu anataka mafanikio

More Lyrics from Fid Q Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status