Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2019

Lyrics

Mzee Mbuzi ft. Gifted - Fid Q

...

Mzee mbuzi weweeeh

[Verse 1]

Hii game ni yako, Hizo ndiyo kauli za mitaani/

Haufiki sehemu bila ku-Hustle, Hivyo walinishauri nipambane/

Nauli nisakanye, Maisha ni safari nijihami/

Ball so hard maths, Kuwa na fani/

Yes, kipindi ya mchonga niliishi fresh kabla ya ruksa/

Mshua hakuwa na stress, Alilaza cash usiku kucha/

Ghafla akawa haonekani nyumbani, Shida zikatupa fursa/

Ikawa msafi ana zamani, Basi mchafu naye ana future/

I remember, Enzi zile uso wa mbuzi ndiyo unapendwa/

Silipi nauli kwa mikwara, Na uki-niuzi nakutenda/

Kwenye daladala, Konda fala asije nitenda/

Mi ni staff ka nyapara, Huko bara nisha-surrender/

Nilichotaka nifike studio/

Ni-record muweze nipata kama basta au kuriyoo/

Sikuwa na pozi za kirapa nilikuwa Gangsta sijui Yooo/

Nikawa conscious, Mtu wa culture, Rasta ambaye haangui ng'oo/

{anakohoa}

Niliyoanza nao ni kama hawataki huu mchezo/

Eti unahitaji zaidi ya bahati, Yaani kismati na uwezo/

Haufuati vigezo/

Unapoamua huchuja hadi wanaojua/

Natukuzwa nawazingua, Ukiuchunguza utagundua/


[Chorus]

Mzee mbuzi weee Wee Wee

Wewe Wewe Wewe Wewee

Mzee mbuzi weewe

Wewe Wewe Wewe Wewee

Ni wazi haikuwa rahisi, But you made it

Mzee mbuzi wewee...

Wewe Wewe Wewe Wewee


[Verse 2]

Ukishajua nini unataka, Nini chahitajika ili ukipate/

Kamilisha mahitaji kisha kifuate/

Sikuwa humble mbele ya wajeda pale mnafiki akizingua/

Kivuli cha unyasi, Hakimzuii mtu jua/

Mi na-hustle ile ki heavy weight/

MSkendo haziwezi mnyea Fid/

So fragile and delicate, Handle with care.. Care/

Bado sijafeli eti, Mjengo unaniteta street/

Kama Makaveli nikifanya kweli zinaenea hit/

Kinachowaponza watoto wa mjini ni tamaa na mikumbo/

Macho huonja kabla ya ulimi, Na wana njaa zaidi ya tumbo/

Kataa kuwa kaa, Kataa kukaa kaa/

Bila chapaa, Kitaa hautong'aa papa/

Ninavyotembea ni kama hero wa kuitwa Che Guevara/

Navyozisaka hata nikipata, Zero inakuwa sio ya duara/

Hai-make sense kama haileti dollar/

Mwache waiter a keep change, kama waitress fala/

Yote haya yalikua ni utoto juu ujana/

Yalianza na maamuzi ya utoto kuukana/

Yakafuata makamuzi ikawa moto juu sana/

Tukawaacha wenye makuzi bila soo huku wakitukana/

Wana hate coz siwezi afford kufanya mistake/

Wanacho otea hawa matozi, Of course, Kinaonekana kime shake/

Muda niliusoma kwa jua kabla ya Jaco kuyajua/

Saa hii kila ngoma wanaipakua, Inaipa macho Medulla/


[Chorus]

Mzee mbuzi weee Wee Wee

Wewe Wewe Wewe Wewee

Mzee mbuzi weewe

Wewe Wewe Wewe Wewee

Ni wazi haikuwa rahisi, But you made it

Mzee mbuzi wewee

Wewe Wewe Wewe Wewee

More Lyrics from Fid Q Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status