Chama La Wana ft. Stamina & Billnass Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2020
Lyrics
Chama La Wana ft. Stamina & Billnass - Bando MC
...
Bando MC ft Stamina,Billnas -CHAMA LA WANA
(DuskoDusko Bado,Beya The Genius we)
BANDO MC
Mnyamwezi nshanyuka pamba,
Sembuse kuwanyuka nyie watoto,
Mademu vicheche mnaozunguka juu ya moto,
Bila hela ni vichomi,
Demu wako akilala na dela ujue kuna mtu anaenda kuchambwa ndotoni,
Mapenzi ya siku izi kama ajali,
Wengi tunaishi TEGETA NYUKI ila hatujui utamu wa asali,
Watakachokwambia we usijali,
Mana huwezi kutumia kamba ya raba kukazia buti ya gari,
Wamakonde ndo wanaoshabikia NDANDA,
Unaweza kuta MKUDE SIMBA nae anashabikia YANGA,
Wanaposema me ni mkali nazidisha gundu,
Muislamu anaswali ila nahisi jibu analo MUNGU,
OMG tasali vp usawa unabana,
Na nliskia eti mchungaji amekula kondoo wa bwana,
Yani noma sana dunia hadaa ulimwengu shujaa,
Ushajiuliza hv kipofu nae anaona kinyaa,
Usione ajabu mshamba akinyoa denge,
Ni ajabu sana kuona hadi mamba kaingia mkenge,
Hali ngumu kila sehemu ila pesa ndo bwana pekee ambaye anadumu na kila demu.
CHORUS (BILLNAS a.k.a Nenga Tronix)
DuskoDusko Bado nyie hamjui kurap (mnazugaaa)
DuskoDusko Bado me ndo yule champion kila muda,
Me ni chama la wana hawajui kama chama la wana,
Me ni chama la wana hawajui me ni chama la wana,
DuskoDusko Bado nyie hamjui kurap (mnazugaaa)
DuskoDusko Bado me ndo yule champion kila muda,
Me ni chama la wana hawajui kama chama la wana,
Me ni chama la wana hawajui me ni chama la wana.
STAMINA(sholobwenzi)
Aaaanh
Mamlaka ya Hali ya Hewa inanisaka na RB,
Eti nachafua anga navyotema hizi fasihi,
Navyosaga hizi laini utasema nina ubongo wa greda,
Seremala ile chonga kitimoto mnachopenda,
Kiufupi sili chungwa na maganda,
Demu wangu gitamani na demu wa Mensen Kinanda,
Hii serikali ya viwanda inanipa ndoto mbevu,
Nyumbani nshajenga banda nina dream ya kufuga ndevu,
Siwezi lala na njaa,ntalala na waifu,
Ukiona nimeshika kitanzi ujue nalala na laifu,
Akili nywele nachokiwaza hakipo mbali,
Mwenye kipilili ndo anaakili ya kachumbari,
Mziki wito wengi wanachana ila hawana sifa,
Mchezo simpo danadana hauitaji kipa,
Utani mwiko,nilipo huwezi fika,
Unaweza ukawa fundi jiko na bado usijue kupika.
CHORUS (BILLNAS a.k.a Nenga Tronix)
DuskoDusko Bado nyie hamjui kurap (mnazugaaa)
DuskoDusko Bado me ndo yule champion kila muda,
Me ni chama la wana hawajui kama chama la wana,
Me ni chama la wana hawajui me ni chama la wana,
DuskoDusko Bado nyie hamjui kurap (mnazugaaa)
DuskoDusko Bado me ndo yule champion kila muda,
Me ni chama la wana hawajui kama chama la wana,
Me ni chama la wana hawajui me ni chama la wana.
STAMINA(sholobwenzi)
Aaaanh
Na mapigo ya kila staili taekwondo mpaka kung-fu,
Hadi Pu*bu naipakia puturuu,
Sasa twanga ukoboe sikodoe,
Naposema akili nywele nambie za wap ili nizinyoe,
BANDO MC
Am sorry braza maisha safari sio na trafki,
Wanaofika kileleni gari wanapandiaga wapi,
Sipendi vya dezo,
Me ndo yule Ostadh bishoo mpaka Kanzu naivalia mlegezo,
STAMINA :Asiyenijua
BANDO MC :Mwambieni me ni hatari kwake
STAMINA :Tena hatari sana,shubiri mkewe ni asali kwake,demu wako ana habari zake.
BANDO MC :Ndo yule jamaa mlafi ambaye anakula chakula na mpishi wake.
CHORUS (BILLNAS a.k.a Nenga Tronix)
DuskoDusko Bado nyie hamjui kurap (mnazugaaa)
DuskoDusko Bado me ndo yule champion kila muda
Me ni chama la wana hawajui kama chama la wana
Me ni chama la wana hawajui me ni chama la wana
DuskoDusko Bado nyie hamjui kurap (mnazugaaa)
DuskoDusko Bado me ndo yule champion kila muda,
Me ni chama la wana hawajui kama chama la wana,
Me ni chama la wana hawajui me ni chama la wana.
(wamemchokoza BEYAA) (Kili Records)
LET'S TALK OVER THE GAME
lyrics by MAGO56