Loading...

Download
  • Genre:Bongo Flava
  • Year of Release:2006

Lyrics

Una - Professor Jay

...

Una Sura nzuri na Tabia ya Kuvutia

Unaweza ukaishi popote katika hii Dunia

Una Tabasam pana la Hubba sauti nyororo

Kweli kwako nakiri umenifunga mi nyororo

Siwezi kuita hili libwata ataa

Mi nabisha kwenye hili suala mi nakataa

Una sura ya Mviringo Uzuri huna maringo

Na wallet imenenepa mithili ya Mama Pingo

Una Meno yalio Banana huna pengo wala Mwanya

Kidani cha ulimi mama nacho nichanganya

Una Macho madogo yasio hitaji miwani

Honey ki ukweli ukweli umenikamata Jamani

Una Shingo ya kuvaa Cheni nyembamba kiasi kwamba unatishia sana namba ya wote wanao Jigamba

Una Macho legevu utazani umevuta Wida ni kama Baba Ritha wada moja de wemafida

Una Chuchu kiduchu daima zanipa uchu

Simezi simungunyi nahema tu nusu nusu

Una lips kama umeficha Panya una nichanganya

Daima wewe ni wangu wa kufa na kuzikana

Una ngozi laini tena ya kungaaa

Una niuwa zaidi na hio Bamba taa

Una sifa zote ambazo mi nazipenda

Napenda tuwe wote kila sehemu ninayonkwenda

Naaziz masham sham kwako si mali huna habari Una ngozi kama ya nazi

Macho ya Kijapani kwako nishafika nafsi yangu imekita Kifuani chuchu saa sita

Machoni mtoto unanita

Binti umejaliwa busara uzuri na utashi

Una nakshi napenda harufu yako nzuri ya malashi Malkia wa moyo we pekee ndio Fahari ya Nafsi

Usiwe na wasi njoo sogea karibu young Dashh

Najiona niko mdotoni nadeka kama Utotoni mwengine kamwe sioni Nakupenda toka moyoni

Una jicho lako la bata Toto hujuwi kunata Mwanya kama Aminatha ndo mana mwenzio nadata

Una Tumbo dogo lenye mvuto sio kitambi Una Jua kumbembeleza kwa lugha isiyo na Kamandi

Mamy domo Kasuku na joto lenye hisia Dia una rangi ya mngaro na nuru isio fifia

Skia ujenzi wa mapenzi unakwenda ngazi kwa ngazi Niamini nikuamini ili tuyaepuke maradhi una

Una ngozi laini tena ya kungaaa

Una niuwa zaidi na hio Bamba taa

Una sifa zote ambazo mi nazipenda

Napenda tuwe wote kila sehemu ninayonkwenda


Una akili zaidi ya Linkon na unapenda kusoma Kwanza unatafakari kwa yote unayo yaona

Hutazami tu ya leo na unafikiri na kesho hata usipo elewa unaomba uwelewesho

Una kitovu cha kuweka pini mguu wa kimini umekaa sana akilini niamini Fukara mimi

Una miguu mithili chupa ya Bia aina ya Tusker heshima na Mapenzi ya kweli yasio na Maftaa

Ngozi laini utadhani Nacrach vocha midomo yako na ulimi huo ni uchawi tosha

Una nibamba sana kwa jinsi ulivyo Stebo Una thamani zaidi ya mpira Mweusi wa Poll Table

Mikono yako laini ya kushika Sim ndogo naisi utumbo wako haupitishi miogo

Hakika we ni wangu Tunzo maishani mwangu Daima unastahili kuwepo ubavuni mwangu

Una ngozi laini tena ya kungaaa

Una niuwa zaidi na hio Bamba taa

Una sifa zote ambazo mi nazipenda

Napenda tuwe wote kila sehemu ninayonkwenda

By: Yoram

More Lyrics from Professor Jay Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status