Mwaka Wa Shetani Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2008
Lyrics
Mwaka Wa Shetani - Mh Temba
...
Shetani shindwa shindwa kabsa
Mwaka wa shetani
Shetani nahi alaumiwaeee
Shetaniiii×2
Akili yangu nnawaza nakumbuka jinsi yulivotoka vipi leo tunavunjika cjui km tutafikaaaa
1/1 Mwaka nimeusahauuu
huu mwaka anauita baba ni mwaka wa
shetani ndani ya fani ya burudani
Shetani ×2 Hakupenda maendeleo
aligombanisha wenye vyeo na wasio na
cheooo%
Nistoria isofutika kwa makundi mengi kuvunjikaaaa
Nagweee nagweee mooooo
Mlikufa saa merudi mkapatanishwa kimoyo moyo mnachukianaaa
Hii haina maana. maana mtarudiana
%yale yale ya mwaka jana * T N G , Tanga
ndo kwao walipigaa baoo
Sasa Shetani kawageukia waooo
Kunani tangaaa au Kuna mwangaaaa
Hii ni siri natobowa ujuwe ushajitia Doaaa
Geto boy unaongoza wew
Watu pori unaongozaa wewee
Chanzo nani wawoooo au wewee
B E Z Maji ya shingo wameimba waoo
Kamandaa waliimbaa waooo
Ni nyimbo za majozi zakuwatowa watu
machozii % Leo vp mmoja wenu
mnamtowa choziii
Ambao hamjatenganaaaa
Anzenii kusalii % Amazetuu Amazaoo
nyimbo
Waliimbaaa waooo
Shetani anawageukiwaa waooooo**
Vichwaaa wanaumizwaa Maswali
wanajiulizaaaa
Mlitakaa kuwaa nawo sas tena hamko
nayeeeeee
Mlimtengaaa mmejitengaaaa
2 berry vp?
Wakali kwanzaa Ndo kwanzaa mlikuwa mnaazaa
Tatizo ninii? Au Kuna jini hapo mjiniii
H B C kila mwaka itarudii ×2
Hata Yesu alisema Anarudi mpaka leo hajarudiiiii
Au mnafanya makusudiiii *** Macho yangu yanaoona mbaliiii
Mpaka Chini ya bahariiiii
Master J na Majanii
Hivi ni kweli au mpakani au ni story za
mtaani Tumtafutee mchawiii nanii?
Mwaka wa shetani ×2
Nani alaumiwaeee shetani ×2
Akili yangu minawaza nakumbuka wp tulipo
toka , vp leo tuna vunjika na cjui km tutafikaaaaaaaa