Kwa Hilo Hujanikomoa Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
Lyrics
Kwa Hilo Hujanikomoa - Jahazi Modern Taarab
...
Ulitaka kunitia kiroho dunda lakini wapiiii
ulitaka kunitia kiroho dunda lakini wapiiii
Mola amenipa bora zaidi anaye ni penda anaye ni peeendaaa
mola amenipa bora zaidi anaye ni penda anaye ni peeendaaa
kwa taarifa yako mie mtu na bahati yangu
kwa taarifa yako mie mtu na bahati yangu
kwa taarifa yako mie mtu na bahati yangu
kwa taarifa yako mie mtu na bahati yaaangu
vitu stara ndo vazi langu
utoe eti manuru alienipa munguuu
vitu stara ndo vazi langu
utoe eti manuru alienipa munguuu
ulidhani utanikomoa lakini wapii
lakini wapii
umeshaula na juaaa
ulidhani utanikomoa lakini wapii
lakini wapii
umeshaula na juaaa
sijaipata hidhara
kwangu ulipo mchukua
kwa vile sina Papara
na mi nika kuachia
sijaipata hidhara
kwangu ulipo mchukua
kwa vile sina Papara
na mi nika kuachia
mola kanivua dhara
kanivuaaa
mwingine kaniletea
kaniletea
mie mja wa stara
wa staraa
kama hujanielewa
nielewaaa
mola kanivua dhara
kanivuaaa
mwingine kanilete
kanileteaaaa
mie mja wa stara
wa staraa
kama hujanielewa
nielewaaa
nimepata mbora mwenye hadhi na muruaaa
sasa nazidi kung'ara donge litakuingiaa
nimepata mbora mwenye hadhi na muruaaa
sasa nazidi kung'ara donge litakuingiaa
kwa hilo hujanikomoa
mambo yangu yanaiendea
nimempata mwingine natanuaa
kwa hilo hujanikomoa
mana roho yangu imepoa
mapenzi moto naliaa
kwa hilo hujanikomoa
mambo yangu yanaiendea
nimempata mwingine natanuaa
kwa hilo hujanikomoa
mana roho yangu imepoa
mapenzi moto naliaa
kupata majaliwa
nakupasha kabisa
huyo ulio mchukua
mbona anaku nyanyasa
kupata majaliwa
nakupasha kabisa
huyo ulio mchukua
mbona anaku nyanyasa
kama bado hujajua
hujajuaaa
fungu lako lamkosa
lakukosaa
ukae ukalielewa
elewaaa
huzibi yangu fursa
yangu furusaa
kama bado hujajua
hujajuaaa
fungu lako lamkosa
lakukosaa
ukae ukalielewa
elewaaa
huzibi yangu fursa
yangu furusaa
mola kanijaalia
kwa mapenzi natakataaa
huyu huba azijua
kanilewesha nasaaa
kwa hilo hujanikomoa
mambo yangu yanaiendea
nimempata mwingine natanuaa
kwa hilo hujanikomoa
maana roho yangu imepoa
mapenzi moto naliaa
kwa hilo hujanikomoa
mambo yangu yanaiendea
nimepata mwingine natanuaa
kwa hilo hujanikomoa
maana roho yangu imepoa
mapenzi moto naliaa
na hizo fitina zako
mimi ndo riziki yangu
tena kanipa ujiko
mimi kwa mpenzi wangu
anazidi kunipenda
mtu na bahati yangu
na mimi nimemganda
raho zake ndiyo zangu
na hizo fitina zako
mimi ndo riziki yangu
tena kanipa ujiko
mimi kwa mpenzi wangu
anazidi kunipenda
mtu na bahati yangu
na mimi nimemganda
raha zake ndiyo zangu
*mwisho/the end*