Langu Rohoni Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2017
Lyrics
Langu Rohoni - Jahazi Modern Taarab
...
Stahii na moyo wa subira, ni ngao njemaaaaa...
Hiloooo njia njemaa, kuondoa lawamaaa....
Hii ndo dunia, Dunia rangi rangiii....
Na watu kwenye dunia, aso hili hana lile... X2
Mdomoni silitoi, jamani langu rohoni
Kunyamaza sikosei, namuachia manani x2
Sipendi kusema naogopa lawama, walimwengu nawajua
Japo yatauma mamb yawanadama, bora kuwapotezea x2
Walivyoniandama japo roho yaniuma, lakin ninatuliaaa x2
Sikuzoea kusema, kubishana na wanadamaaaa
Sijutiii na sitajutia... X2
Mwenye maneno mengi, hua namuangalia
Wala ubaya sijengi, wote nampotezea x3
Najua hii ndo dunia, dunia rangi rangiij eeehh
Na watu kweny dunia, aso hili hana lileeee x2
Lolote lile watakutafutia, iliupate upige kelele
Mie mdomo sitaufungua, ndo kawaida yangu milele x2
Wajinga wajinga nawapotezea, katu hawanipigish kelele
Binaadam ndo wamezoeaa, kuyazush hili n lile x2