Nagusa Gusa Remix ft. Mr Blue Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2019
This song is not currently available in your region.
Lyrics
Nagusa Gusa Remix ft. Mr Blue - Nandy
...
Nagusa gusa kama mbwa navyonusanusa
Navyoupiga nje kama umenipa ruksa
Najiona filauni na nashindana na musa gusa
Mademu kila maala kila debe najirusha
Kama ungekua daladala basi tayari umenishusha
Navyobana kona kama kete na busha
Mademu wengine wako tanga watoto wawili arusha
Kila kitu unacho pembeni nachepuka
Kama mapenzi ni macho basi yangu yamepofuka
Najua umenichoka ila tu unanivumilia
Machozi yanatoka na unacheka baada ya kulia
Baby yooh nataka uwe nami
Baby yooh for you am loosing control
Baby yooh nataka uwe nami
A e ooh nayeya
Baby yooh nataka uwe nami
Baby yooh for you am loosing control
Baby yooh nataka uwe nami
A e ooh nayeya
Lakini bado ( nagusa gusa)
Bado (nagusa gusa)
Lakini bado (nagusa gusa)
Yeyee (nagusa nagusa eeh)
Lakini bado ( nagusa gusa)
Bado (nagusa gusa)
Lakini bado (nagusa gusa)
Yeyee (nagusa nagusa eeh)
Amenifaa ameniipa mimi faida
Kwenye penzi lake sijakwiba
Siitaji mwengine wakunipa tiba
Bado sijamuona mwingine ataenifaa
Baby can say am nothing to you
But you know i like to is just for you
Wanijua nakujua wewe
Wanijua nakujua wewe wewe baby
Baby yooh nataka uwe nami
Baby yooh for you am loosing control
Baby yooh nataka uwe nami
A e ooh nayeya
Baby yooh nataka uwe nami
Baby yooh for you am loosing control
Baby yooh nataka uwe nami
A e ooh nayeya
Lakini bado ( nagusa gusa)
Bado (nagusa gusa)
Lakini bado (nagusa gusa)
Yeyee (nagusa nagusa eeh)
Lakini bado ( nagusa gusa)
Bado (nagusa gusa)
Lakini bado (nagusa gusa)
Yeyee (nagusa nagusa eeh)