Narudi Kijijini Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2020
Lyrics
Narudi Kijijini - Best Naso
...
mmmm
aiii yeeeeee
best Naso
sijafukuzwa kwetu mtaa
japo ulinikuta nakata mkahawa
vipi unipee manyanyaso nimetulia
eti kisa Nipo kwako umenioa
nilifwata penzi lako sijafwata chapaa
wee Baki n pesa zako mi narudi shamba sikuja dar es salama kushangaa mataa wee Baki na Jiji lako minakwenda mamah
nabeba virago vyangu naambaa wee manyanyaso sumu kwangu Bora n timue narudi nyumbani kwetu kalimawe
walio rafiki zangu utawaambia eeh
nabeba virago vyangu naambaa wee manyanyaso sumu kwangu Bora ni timue narudi nyumbani kwetu kalimawe
walio rafiki zangu utawaambia eeh
kila urudipo nyumbani umelewa unanipa matusi maaamah
Leo nina siku tatu hapa nyumbani hujalala nakuuliza unantusi mamah
kila urudipo nyumbani umelewa unanipa matusi maaamah
Leo nina siku tatu hapa nyumbani hujalala nakuuliza unantusi mamah
bora nirudi zangu kijini nikaendela kukata mkaaa enziii
bora nirudi zangu kijini nikaendela kukata mkaaa enziii
maisha haya mama siwezi Bora nirudi zangu kijiji
maisha haya mama siwezi Bora nirudi yangu enzi
najua pesa ndio waeza fanya ujisikie
Na unauwezo wa kununua umtakaye
Kila kitu kina mwisho mama
Duniani tunapita, za ujia wee
Jinsi alikuja mama mzazi kunisalimia
Nilivyotoka tu nyuma ukamtimua
Nahisi ulipenda boga hukupenda ua
Ila tambua bila yeye husingenijua
Kweli kwamba nliumia aah
Japo kuwa sikuongea aah
Nimeamua kurudi kwetu kwa mama
Nikamnyamazishe kulia
Ama kweli ningejuaaa
huja yakishatokea haya
Ama kweli ningejua eehee
huja yakishatokea haya...
nabeba virago vyangu naambaa wee manyanyaso sumu kwangu Bora ni timue narudi nyumbani kwetu kalimawe
walio rafiki zangu utawaambia eeh
nabeba virago vyangu naambaa wee manyanyaso sumu kwangu Bora ni timue narudi nyumbani kwetu kalimawe
walio rafiki zangu utawaambia eeh
kila urudipo nyumbani umelewa unanipa matusi maaamah
Leo nina siku tatu hapa nyumbani hujalala nakuuliza unantusi mamah
kila urudipo nyumbani umelewa unanipa matusi maaamah
Leo nina siku tatu hapa nyumbani hujalala nakuuliza unantusi mamah
bora nirudi zangu kijini nikaendela kukata mkaaa enziii
bora nirudi zangu kijini nikaendela kukata mkaaa enziii
maisha haya mama siwezi Bora nirudi zangu kijiji
maisha haya mama siwezi Bora nirudi yangu enzi
manyanyaso nimekataa
utumwa penzi sijazoea
Imani yangu, bado sijajaaliwa
labda atayenipenda hajazaliwa
manyanyaso nimekataa
utumwa penzi sijazoea
Imani yangu, bado sijajaaliwa
labda atayenipenda hajazaliwa
nyumbani kwetu ni umaskini sana
Lakini si ulikuta naishi bwana
nyumbani kwetu ni umaskini sawa
Lakini si ulikuta naishi bwana
umefanya akalia wangu kalia mama
siwezi ishi Bora niende kwa mama
umefanya akalia wangu kalia mama
siwezi ishi Bora niende kwa mama
bora nirudi zangu kijini nikaendela kukata mkaaa enziii
bora nirudi zangu kijini nikaendela kukata mkaaa enziii
maisha haya mama siwezi Bora nirudi zangu kijiji
maisha haya mama siwezi Bora nirudi yangu enzi