Wamechokoza Kubaya ft. Tannah, Chemical, Coyo A.B.A & Nacha Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2017
Lyrics
Wamechokoza Kubaya ft. Tannah, Chemical, Coyo A.B.A & Nacha - Stamina (TZ)
...
killy killy
.......
wamechokoza pabayaa
aaah
Bea
TANAH
Mimi sio God's ,Wala sio Devo's milele ntabaki
mi sina time ya kuigiza, skiza
hata kwenye mwanga Kuna Giza,
nachomoka gizani Leo tannah wananiita fiva,
na kama wyne why humu ndani kumenoga
naandika verse imeponda utazani inacheza yoga
yana bum mpaka boda, humu wamedoda
nnapotoka hapafai mana ni mganga kalogwa
eiyoo baba,bado ninachana na ma papa
Saka, Kila nnachofanya unanifuata, fuata,
ninawapa Kila wanacho taka taka
na hizi taka taka Nazi kata kata
hapo mwanzo anacheza mchezo hatari,ukiniona jua umepata habari,nikikuona maisha Yako ni kamari,na Hali Yako haiendani na
Kuna ,*******,,,??!
Cha juu sio Cha chini mnao watuma kuntumiza, nishawatuliza mimii,*(tichaa)
wambie hao walimu Wana hangover nawalisha sumu wale ndimu za kifaya*(fayaa)
wabayaa ,(baaya) sio wabaaya(baaya)niite fayaa ,eeh
baaya (baaya) ni wa baaya sio wabaaya
niite mbayaa
ukimya na hauna hasara na usiichekee kima hii biashara,
amka wewe hata kama junior kalala sio lazima uelewe uwe mbele ya muda twende sawa na ndo ukweli wenyewe
wasihusishe kuota mabawa,
mkali ni mkali, kama ilivyo kwa utamu ni utamu, japo ipo tofauti kati ya sukari na asali,
hawakua na habari na enjoy vile msodoki anamjoki baba tamaa,
asa natuma hii taarifa mkamwambie ambaruti,
me nshakula tigo adi kwenye kitamo Cha bunduki,
ee bwana pole pole, nlokupea mautundu,
mnaiga kunya kwa tembo, asa ngoja mchanike,
wanaumee, (eee,)
naomba niwaulizeni mtu akifa kifo Cha Mende,
ivi kweli atanda peponi.
ebu waambie hii taarifa wakaitangaze kwa runinga,
dada alie gongwa na gari naskia amepata mimba
mtaani waniita kichwaa
Cha juu sio Cha chi mlowatuma kuntumiza nishawatuliza Mimi,
(teachaaa)
mwalimu wa walimu Wana hangover nawalisha sumu wale ndimu za kifaya(faaya)
niite mbayaa(baaya)sio baaya, (baaya) niite fayaa eeh.
mbayaa(baaya) niite faaya(faaya)sio wabaaya(baaya), niite fayaaaa .eeh.
STAMINA.
Wana niita toka force ila cross huwa ya dongo nishashinda kila mechi hata beki mumtoe ndondo.
nimeota Ronaldo,eti kaja bongo kuniona man u nikicheza na manifongo,
sawa Hu, ukipagawa utachanganya rangi,
mana mpaka Steven siga anakula bangi.
kwenye msafara wa mamba tunanavuka mpaka kenge,
wenye maneno ya kanga mzee ni maulidi kitenge,
marapa wengi hawaniitagi kwa kolabo,
mana nkifika studio verse zangu wanapiga chabo,
usishtuke ,kolabo hii nmeifunima Mimi ,
sa cjui anaefuata maskini ataimba nini,
ROMA
Ayo napenda kula tigo,mpaka na Voda bwana ,
kisimu changu laini mbili kinanisave bwana,
ndani joto,aisee ni hatari, acheni kunchekesha Kenya kunajua Kali,
habari ni kua nacha nabeo naona watoto wamekutana na beseni wanaogelea
mi ni mwenye nyumbaa,
mana mungu ndo mpangaji ,unaona wenzako wananyolewa na zako tia maji,
kwenye kolabo huwa sichanganywi na wanangu
Yani ni mafuta nimechanganywa na maji nmekaa kivyangu,.
mtaani waniita kichwaa
Cha juu sio Cha chini mnao watuma kuntumiza nishawatuliza Mimi,
(teachaaa )
mwalimu wa walimu Wana hangover nawalisha sumu wale ndimu za kifaya (faaya) niite fayaa (faaya)sio wabaaya (baaya)niite fayaa. eeh,
baaya (baaya) sio wa baaya (baaya)niite fayaaaa eeh.
..................................................................