Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2020

Lyrics

Asiwaze ft. Atan - Stamina (TZ)

...


                              en                               fr                      


HomeArtistsTop Lyrics


Sort By


TranslationsLoginContactSend a LyricDownload Mobile AppClose Menu


HomeSearchCountriesTranslations



Asiwaze


STAMINA  Feat. ATAN


Add en Translation


Share


Stamina ft Atan - Asiwaze lyrics


Iye iye iye iye iyeee iyee

Iye iye iye iye iyeee iyee


Aaah unaposkia neno ndoa(Ndoa), ujue noma

Kabla kuongea chochote

naomba kwanza kusonya(Msschew...)

Sijali nishauri nani aisee ok twende


Aliyenifundisha mapenzi 

Hakuniambia kuhusu kuoa

Alinionyesha staili za tendo 

Ila sio maisha ya ndoa


Aliyesema ndoa ndoano

Hivi mjinga ni nani?

Kafanya nivue samaki

Kwenye bahari yenye tsunami


Nikiziona picha za harusi

Najiskia vibaya

Namuonea huruma padri

Pamoja na waimba choir

 

Yale mafunzo ya katekista

Eti yamepotea mazima

Sadaka misa ya ndoa

Bora mngewapa watoto yatima


Pole wasimamizi wa ndoa

Kwa ujinga mliosimamia

Mngesimamia ukucha

Mngekuza hata familia


Kama ni pete

Nisharudisha kwa sonara

Tayari nishavuta mpunga 

Nimerudisha nusu hasara


Kabla kuingia ndoani 

Anakuwa kondoo usiyemjua

Ila ukimweka ndani 

Nyani anakuachia mabua


Marafiki mashemeji 

Ndio wanafiki nakuambia

Wanaweza kufanya ulewe 

Bila hata kukupa bia


Sasa ile suti(Ilifanya ya nini? )    

Na mchango(Nilichangisha ya nini?)

Na wale ndugu(Niliwaita wa nini?) 

Na kile kiapo(Niliapa kwa nini?)


Naubembeleza upepo

Usizime kibatalii(Iye iye iye)

Kichwani mwangu hayupo

Moyoni niko shwari(Iye iye iye)


Wanajaa jaa pengo mwambie, asiwaze

Huko aliko atulie, asiwaze

Kama amepoteza lengo mwambie, asiwaze

Huko aliko atulie, asiwaze


Mwambieni yule dogo aliyeichezea club ya Simba

Kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda 

Mi samaki mapenzi yangu yana chombo 

Kaka yake nishakula so ruksa kutoa vyombo


Hata posa nililotoa mwambieni aingize vikoba

Ila atakaye muoa ampe mtaji wa bodaboda

Ama kweli hii dunia ina mambo mengi

Na ndoa ni kama boti haiwezi kupaki stendi

 

Hichi cheti cha ndoa nimebaki nacho kwa nini?

Siwezi kuombea kazi Hakina mchongo apa mjini

Hata Biblia imeandika wanawake tuishi nao kwa akili

Kwao sikumficha kitu ulimpa hadi sehemu za siri


Akiskia nimekufa mwambieni asilie sana

Aite rafiki wafurahi wachome nyama

Nitazikwa na ndugu rafiki na mafans kibao

Mkimuona msibane nitafufuka nimzabe vibao


Unaweza kumpakia mkongo mkeo na usimfikishe

Alafu anayempakia mkorogo ndio akamfanya amridhishe

Ndoa ndoana anayebisha aniulize mimi

Nishawahi kuwa na mahusiano 

Ambayo sijui yanahusiana na nini


Na ile keki(Nilikata ya nini?)    

Na mahari(Nililipa kwa nini?)

Na yule mshenga(Nilimtuma kwa nini?) 

We si uliapa tena ukala yamini


Naubembeleza upepo

Usizime kibatalii(Iye iye iye)

Kichwani mwangu hayupo

Moyoni niko shwari(Iye iye iye)


Wanajaa jaa pengo mwambie, asiwaze

Huko aliko atulie, asiwaze

Kama amepoteza lengo mwambie, asiwaze

Huko aliko atulie, asiwaze


Wewe ambaye hujaolewa

Usifanye kama hutaki kuolewa hivi eeh

Alafu na wewe ambaye hujaoa

Sio kwa sababu ya nyimbo 

Eti ukakata tamaa ya kuoa(Mmmh mmh)

Sijasema hivo aiseee


Asiwazee! Hata akinisema popote pale

Asiwazee! Na hata tukionana mahala popote pale(Asiwaze)

Bear, Peace! I live my life men


Kiri Records

Lets take over the game

More Lyrics from Stamina Shorwebwenzi Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status