Falling Again Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2023
Lyrics
Falling Again - Kontawa
...
Mdomo koma mdomo nyamaza
Nakumbuka mara kwanza nakuona
Nilikuona kwenye big brother
Nikaumi sana kusikia una bwana ako
Niliingia na wivu ikabidi nifumbe macho
Nikaomba namba hadi kwa mashoga zako
Wakaniambia nikitakafeza nikaaso
But now oooh
Nikiona rafiki zako uwa nawauliza swali
For now oooh
Yupi anamiliki fedha kati yangu na serikali
Hapo kati Tembo nachui walinivuruga
Nikaona kama kwako ntapoteza muda
Ila uzuri mi nimesomea ujuba
Nikachukua kiberiti nikachoma mboga
Nimefalling love again
I swear am falling love again
Me am falling love again (again again)
I swear am falling love again (again again)
Watu wanasema ukiiba feza kuna kesi
Mbona mi nimeziiba mbele ya jeshi
Na hizi salamu ziwafikie hadi maex
Mi nimeamua kuishi na feza kama bank
Baby kuna watu kwako wanaleta chuki
Achana nao bwana akili zao fupi
Wanakusema ata pumzi hawakupi
Eti iyo shepu umechonga uturuku
Matajiri wanakutaka eeh
Masikini wanakutafutaa
Oya mi nimekupata wakatangaze msiba kwako nimekufa
Hapo kati Tembo na chui walinivuruga
Nikaona kama kwako ntapoteza muda
Ila uzuri mi nimesomea ujuba
Nikachukua kiberiti nikachoma mboga
Nimefalling love again
I swear am falling love again
Me am falling love again (again again)
I swear am falling love again (again again)