Shida Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2023
Lyrics
Shida - Kontawa
...
alipoteza bikra yakee tangu akiwa na Miata kumii
huyu dada bwana sifa yake anapiga mlegee had gauniii
uzuri wake ni wapekee ake
ila anatabia za kihunii
ikitokea ukawa bwana ake ata ukimcheat haimuumii akitaka kuvuta ana smoke kankaa
Kuna muda anashindana na wanaume kunywa pabaa
Kuna watu bana waliingia Chaka walimpa cret Zima wakakuta amewaka
anaitwa shida usiombe akusikiee unajudgeee
mtaani kwako kutawakaa maana atakuchamba bila majii
aaah shida anadate na watu wasionaidadi
alianza kushindikana alitembea na mpaka wakimbiajii
anaitwa shidaa,shidaa ndo jina lake kwenye I'd alilopewa utotonii*2
..............
alishawah kutoa mimba ikiwa n miezi nane
anavuta sigara Kali kama Jose wamachame
shida aogopi mtu so usijichanganye ukimletea usela mavi anakupa choo ukanyee
baba ake shida aliuwawa kama muhalifu n mama ake ndo alikufa hiyo hyo usikuu e
ilikua jumatano saa tatu usikuu na ndo hyo siku shida alizaliwa na kwakua shida alikua anashida kila siku kwenye mwili wke akawa anauza kila kituu
akapelekewa moto mtaani na kila mtu mwisho wa siku akaunguaa
stress zikafanya anywe sumuu maana Dunia kama inambaguaa akaokolewa na wahudumu baada y kutoka hospital serikali nayo ikachukua hatuaa
shida akahukumiwa kifoo Kwa Kosa lakutaka kujiuaa
anaitwa shida shida ndo jina lake kwenye id alilopewa utotonii*2