Bastola Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2021
Lyrics
Bastola - Kontawa
...
KONTAWA_-_BASTOLA.
another banger
me nachekaga tu
hey you my name is kontawa rapa tishio kwa matembo
sijawai kuwa mwanajeshi polisi wala mgambo
me ndo kidume cha shoka mwenye panga kaa mbali
mana naishi na bastola ambayo aina ata kibali
bastola ambayo iko tofauti kabisa
sio machine gun wala smg ya kivita
aijawai kuishiwa nguvu course nimejiimalisha
huwa naitumia vyema ili niwe staa kwenye vita
bastola ina maajabu yasiyo na uchawi wala ndumba
mana uwezi ingia vitani kama bastola aijavimba
nilipo jua ayo maajabu nilibaki na tabasamu
kumbe bastola itavimba tu kama utaijaaza damu
me uwaga nawaza vita nikiona kumi ya kirumi(xxx)
basi )apo nitamwita adui asipo kuja naenda bafuni
kwanza inapendwa na adui kwa jinsi ilivyo tulia
wala sijapitia depo ila najua kuitumiaa
ukikaa vibaya mbele yangu inakushuti
inafanya mauaji bila ata kutoa sauti
ukiletea matani itakulaza maututi
ukishika vibaya aichagui inakushuti
inakushuti (inakulenga)
inakushuti
inakushuti inakushuti(bastola)
inakushuti (inakulenga)
inakushuti inakushuti
ukiwa mbele ya watoto bola usitamani vita mana ikichachamaa bastola itakuaibisha
kila siku asubui bastola inajivimbisha kama umelala na adui fanya mauaji ya kutisha
bastola ina tundu moja lenye upana kiasi
kazi yake kutoa maji na kutema risasi
siku zote uwa inafichwa sehemu za serious
aina miguu ila inasimama kwenye nyasi
wapamba wanaitumia mpaka wanatajirika
bastola kaa jogoo itakuwa noma isipo wika
mambo ya kikoloni naimani yote yatatoka
bastola inatoa wazungu wanaoishi Afrika
najua uwezi amini kitu ntakacho kwambia
bastola aiuzwi dukani na ikiuzwa ni bandia
mtu akipiga hewani akuna utakacho sikia kama ujaijua iyo bastola nifollow insta ntakwambia
ukikaa vibaya mbele yangu inakushuti inafanya mauaji bila ata kutoa sauti ukiletea matani
itakulaza maututi
ukishika vibaya aichagui inakushot
inakushuti(inakulenga)
inakushuti
inakushuti inakushuti(bastola)
inakushuti (inakulenga)×2
tambua bastola ya chizi ndo inarisasi nzito
kama ile ya gobole japo uwezi sikia mlipuko
aijalishi we unaipi cha msingi uteme moto
kuna mguu wa kuku wa bata mpaka wa mtoto
we mwenye mguu wa kuku jifunze kushambulia
ukiwa mzembe utapata skendo kuwa mchizi unakibamia
niliamua kumpenda adui nae akunipenda pia
alipo iona ii bastola
akadai naomba kuitumiaaa
ukiwa umeshika bastola chunga usilenge siko
mana imekua fashion machizi kulenga jicho
we unapenda vita kisa bastola yako
cha zaidi kumbuka kinga kwani vita aina macho
ili bastola igawe dozi kwa adui anae jikuta piga tizi sana ikiwezekana funga busta
mzungu amejenga ya bandia ili wachezee watoto
ya kwangu uwa inalala na aijawai kuota ndoto
(inakulenga)
(bastolaa)
inakulengaa
follow me in istagram at k.a.j.o.j.o_kid
to request your favor song lyrics
over.