Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2019

Lyrics

Safina - Stamina (TZ)

...

Halleluyah, Halleluyah

Halleluyah, Halleluyah

Halleluyah, Halleluyah

Halleluyah, Halleluyah

Baba kabla haujashusha gharika kwa nchi nzima

Umenituma dumu mwanao nije nijenge safina

Napo sema Mungu ni mkubwa, ni ukweli sio poyoyo

Amemfanya hadi kiziwi anaskia mapigo ya moyo

Dini sku hizi zinavuma kwa upepo wa kisulisuli

Sioni ibada wanashindana kuvaa vizuri

Safina haina nafasi kwa watumishi mabishoni

Ndio maana siingizi wachungaji maana watakula kondoo

Umenipa madada mnnajishoot uchi sio poa

Umenipa makaka mbaya wengine makaka poa

Mwanamke kuwa mwanaume wa mwanamke asiye na mume

Ni mwanaume tena wa kiume kuwa mwanamke wa mwanaume

Shuleni hawafundishwi somo linaloitwa utajiri

Bali dhamani ya x ambayo mtaani haiwapi dili

Wacha watoto waje kwako ila kwa mwendo wa polepole

Wakumbuke tu, mkono wa sweta haunaga vidole

Lalala..

Kikubwa naomba Mungu

Aninusuru na maisha yamezidi kunichanganya

We tazama dunia

Wanakondoo na waumini kwenye safina ndo wanazama

Oooh Jah Jah bless

Jah Jah bless

Oooh Jah Jah bless

Yes sir!

Kwenye mapenzi wanaenzi ilimradi

Ukiitwa mpenzi bila pesa we ni mpenzi mtazamaji

Unaeza ukafa leo, wanawe wakalia usiku na mchana

Ila cha ajabu mkeo, siku ya matanga kapata bwana

Ila Baba, samahani naomba nikuulize

Najua una mambo mengi na kimtindo uko bize

Ulisema tuzaliane ili tujaze dunia

Sasa ugumba na utasa uliweka wa nini?

Nafikiria anakamata bodaboda hajavaa helmet why?

Wakati kwa michepuko havai kinga anapiga dry

Pesa sio sabuni ya roho ni sabuni ya uchafu

Ingekuwa sabuni ya roho ingetakatisha mpaka wafu

Halafu Baba maisha ni mazoezi -

Ukiona watu wanakonda ujue pesa ndo gym tosha

Malipo ni hapa hapa duniani huko mbinguni hakuna change

Usihofu safina ikijaa wengine nitawalaza kweny kere

Lalala..

Kikubwa naomba Mungu

Aninusuru na maisha yamezidi kunichanganya

We tazama dunia

Wanakondoo na waumini kwenye safina ndo wanazama

Oooh Jah Jah bless

Jah Jah bless

Oooh Jah Jah bless

Yes sir!

Ndoto zilikuwa pilot, piloti

(Dreams come true, dreams come true)

Zilifeli baada ya kulost

(Dreams come true, dreams come true)

Ushabebeshwa mikoba ya kiganga

Ushavunja nazi njia panda

Ushale mgongoni wakakuchanja

Lakini bado hauna doh, doh doh doh...

Kikubwa naomba Mungu

Aninusuru na maisha yamezidi kunichanganya

We tazama dunia

Wanakondoo na waumini kwenye safina ndo wanazama

Oooh Jah Jah bless

Jah Jah bless

Oooh Jah Jah bless

Yes sir!

Halleluyah, Halleluyah

Halleluyah, Halleluyah

Halleluyah, Halleluyah

Halleluyah, Halleluyah

More Lyrics from Stamina Shorwebwenzi Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status