Thamani Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2018
Lyrics
Thamani - Nandy
...
Thamani na sura yako ndo inafanya mwenzangu ujidai
Husiringe huyo akupendae ipo siku atakuja kudie
Sina thamani mi nokia ya zamani kisa umemuona kishkwambi
Umenikana kwa rafiki adharani kweli penzi chachu tena silambi
Ni bora ungesema wazi kua unitaki ningeimili kua lonely
Kuliko penzi kua chachu ya maisha yangu furaha yangu nisiione
Mi mwana wa mwenzio ah mwana wa christina
Nafsi yangu kuishi na kinyongo haiwezi nasema hai!
Ukiniacha ntakufa mazima (sio sawa le sio sawa le)
Ukiniacha ntakuga mazima (itakua hatari itakua hatari)
Ukiniacha ntakufa mazima (sio sawa le sio sawa le)
Ukiniacha ntakuga mazima (itakua hatari itakua hatari)
Muda mwingine nawaza sababu yakununiana
Au labda mwenzangu bado una uvulana
Makusudi visa na dharau kupigana (udhuni)
Mi ubavu wako wa kushoto nimeumbwa aibu uoni aaah aiyayaya iayoyoyo
Muda mwingine nawaza sababu yakununiana
Au labda mwenzangu bado una uvulana
Mi mwana wa mwenzio mwana wa christina
Nafsi yangu kuishi na kinyongo haiwezi nasemaa aih
Ukiniacha ntakufa mazima (sio sawa le sio sawa le)
Ukiniacha ntakuga mazima (itakua hatari itakua hatari)
Ukiniacha ntakufa mazima (sio sawa le sio sawa le)
Ukiniacha ntakuga mazima (itakua hatari itakua hatari)
Ukiniacha nitakufa mazima baba
Mazima zima mazima babaa
Ooh yeye mazima baba
Itakua hataree