Funga Geti ft. Roma Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2019
Lyrics
Funga Geti ft. Roma - Billnass
...
Naskia joto unavyokesha
Mwisho saa sita oooh (saa sita)
Nishapitia msoto
Mpaka nimefika ooooh
Touch take five now
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti ( funga geti)
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Mnaojiita wakali kiukali mnapimwa vipi
Nataka sigara kali mfukoni una viberiti
Mtaani waya kali viwaya nitavuta vipi
d-d-d-dadako ananiita continent
Kwenye nchi za kutosha
Maiti wanakosa coffin eeh
Kama buchi lililochoka
Aaa naziona chuki tu na sio upinzani
Ukitaka kujua burudani
Muulize demu wako anajua navaa boxer gani
Bado mnachuki kwani?
Na mwaka huu mtavaa chupi vichwani
Pakua mangoma bila start duble duble
Nashangaa mtoto nandy kusema nenga kivuruge
nimekuwa baba now nimekuwa baba lao
Siku hizi nachukiwa mpaka na waganga wao
Nimekuwa stori kwao zaidi yao zaidi yao
Kunichukia kwaiva tu pressure miili yao
Wanalenga ni kama nenga (nafanya miracle)
Waambie wanaopinga wazidi overdose
Wanalenga ni kama nenga
Waambie wanaopinga
Nenga ni kama nenga
Waambie wanaopinga
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Na round hii babako lazima tuheshimiane
Leo mhuni nimekutana na teke la vandame
Mpira pass ndio siri ya ushindi
Naslide kwenye nyasi
Imechana mkeka wa mhindi
Si mliandaa mipango kaandaa migambo
Kaandaa mitambo na bado mkatoa matango
Sasa mtaandaa mapango taandaa mabango
Nasajili ng'ambo mtacheza chini chini ya kiwango
Na bado tutahesabu diary
Na dose ndo hii nawapa (kwa stress)
Tutasonga ugali of course kwa maji ya bata
Na nitawahanyari wauza papa
Walinitupa kwa bahari
Nifilie mbali na narudi na samaki nawapa
Si mlikuwa mnakula bati mi nakula kigae
Nyi watoto wa mto wa kati ndo napita mjiandae
Eti unaniombea mauti si bora usalie kunuti
Mnavunja nazi my foot bado hamnikuti
Wanaroma ni kama roma nafanya miracle
Waambie wanaochoma wasiji over dose
Wanaroma ni kama roma (heee heee)
Waambie wanaochoma (hee hee)
Mbomba ni kama roma (hee hee)
Waambie wanaochoma
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Waambie mtaa wa pili
wafunge geti ( funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Joto moto
Moto Joto
Naskia joto unavyokesha
Mwisho saa sita ooh (saa sita)
Nishapitia msoto mpaka nimefika ooooh
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Waambie mtaa wa pili
Wafunge geti (funga geti)
Tunapita majangili
Wafunga geti (funga geti)
Funga geti moto
funga geti joto
Take five now