Upendo Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2020
Lyrics
Upendo - John Lisu
...
Je ni nani atakayenitenga
na upendo wako
eeeh eh Yesu
je ni nani atakayenitenga
na upendo wako
eeh eeh Yesu
aaah hakuna cha kunitenga na upendo wako Yesu
aaah hakuna cha kunitenga na upendo wako Yesu
aah hakuna cha kunitenga na upendo wako Yesu
wala wenye mamlaka
wala wenye vyeo
ooo- hawatanitenga
wala wenye mamlaka
wala wenye vyeo
ooh -hawatanitenga
wala yaliyo juu wala yaliyo chini
hayanitenga na upendo wako
wala yaliko wala yatakayo kuja
hayanitenga na upendo wako Yesu
wala hakuna aaah cha kunitenga
na upendo wako eeh eh Yesu
wala hakuna cha kunitenga
na upendo wako eeh eh Yesu
upendo upendo oo Yesu ninakupenda aaah
sinaye mwingine eeeh zaidi yako
upendo upendo oo Yesu ninakupenda aaah
sinaye mwingine eeeh zaidi yako
kule kuwa kama Mungu uliona
si kitu cha kushikamana nacho
bali ulinyenyekea aaah hata mauti
kwa upendo wako Yesu
ukashuka kwetu
ulidharauliwa na kuteswa kwa ajili yetu
upendo upendo oo Yesu ninakupenda aah
sinaye mwingine eeh zaidi yako
upendo upendo oo Yesu ninakupenda aah sinaye mwingine eeh zaidi yako
Hallelujah
...
nitakuwa wako sitatoka kwako
nitakaa nyumbani mwako
siku zote za maisha yangu eeh
nitakuwa wako sitatoka kwako
nitakaa nyumbani mwako
siku zote za maisha yangu
siku zote siku zote
siku zote za maisha yangu eeh
nitafakari hekaluni mwako
siku zote za maisha yangu
nitazame uzuri wako Yesu
siku zote za maisha yangu eeh
siku zote siku zote
siku zote za maisha yangu eeh
siku zote siku zote
siku zote za maisha yangu eeh
....
nitakuwa wako sitatoka kwako
nitakaa nyumbani mwako
siku zote za maisha yangu eeh
nitakuwa wako sitatoka kwako
nitakaa nyumbani mwako
siku zote za maisha yangu
siku zote siku zote
siku zote za maisha yangu eeh
nitafakari hekaluni mwako Yesu
siku zote za maisha yangu
nitazame uzuri wako Baba
siku zote za maisha yangu eeh
siku zote siku zote
siku zote za maisha yangu eeh
siku zote siku zote
siku zote za maisha yangu eeh
Hallelujah eeeh
piga kelele
cheza
....
anatawala Yesu anatawala Yesu
anatawala Yesu anatawala Yesu
hakuna kama yeye
hakuna kama yeye
hakuna kama yeye
ndiye mwokozi was ulimwengu Yesu
hakuna kama yeye
ni Bwana wa mabwana
hakuna kama yeye
hakuna kama yeye
hakuna kama yeye
hakuna kama Yesu eeh
hakuna kama yeye
ni mwokozi wa ulimwengu Yesu
hakuna kama yeye
Yesu ndiye Bwana jana leo hata milele
Yesu ndiye Bwana jana leo hata milele
Yesu ndiye Bwana jana leo hata milele
Yesu ndiye Bwana jana leo hata milele
Yesu ndiye Bwana jana leo hata milele
Yesu ndiye Bwana jana leo hata milele
Hallelujah eeeh
Ruka juu
ruka juu watu wote
Alipo Yesu mambo yote yanawezekana Amen
Alipo Yesu mambo yote yanawezekana Amen
Alipo Yahweh mambo yote yanawezekana Amen
alipo Baba mambo yote yanawezekana Amen
hakuna jambo lisilowezekana kwake Yesu
hakuna jambo lisilowezekana kwake Yesu
anaweza yote
anaweza yote Yesu
anaweza yote
anaweza yote Yesu
anaponya magonjwa
anaponya magonjwa Yesu
Alipo Yesu mambo yote yanawezekana Amen
Alipo Yesu mambo yote yanawezekana
Amen
Alipo Yahweh mambo yote yanawezekana Amen
alipo Baba mambo yote yanawezekana Amen
hakuna jambo lisilowezekana kwake Yesu
hakuna jambo lisilowezekana kwake Yesu
anaweza yote
anaweza yote Yesu
anaweza yote
anaweza yote Yesu
Hallelujah
cheza
shangwe na vigelegele kwa Yesu
.....
mataifa yote acha sifa za Bwana zitingize dunia
washa moto wa roho acha sifa Bwana zitingize dunia
anastahili sifa eeh
anastahili sifa eeh
anastahili sifa eeh
anastahili sifa eeh
mataifa yote acha sifa za Bwana zitingize dunia
washa moto wa roho acha sifa Bwana zitingize dunia
anastahili sifa eeh
anastahili sifa eeh
anastahili sifa eeh
anastahili sifa eeh
Hallelujah eeh
piga kelele
piga kelele
Hallelujah hallelujah hallelujah
zunguka zunguka
....
ruka juu ruka juu ruka juu ruka juu
ruka juu ruka juu ruka juu ruka juu
ruka juu kwa Yesu
ruka juu ruka juu ruka juu kwa Yesu
ruka juu ruka Juu ruka juu
Hallelujah
hakuna eeh hakuna eeh hakuna kama yeye
hakuna eeh hakuna eeh hakuna kama yeye
hakuna kama Yesu eeh
hakuna kama Yesu
hakuna kama Yesu
hakuna kama Yesu
hakuna hakuna hakuna
hakuna kama Yesu
hakuna hakuna hakuna
hakuna kama Yesu
hakuna kama Yesu eeh
hakuna kama Yesu
hakuna kama Yesu eeh
hakuna kama Yesu
Hallelujah
Africa nzima hakuna aliye kama Yesu
piga kelele kwa Yesu
vigelegele kwa Yesu
Hallelujah
mbarikiwe sana na Bwana