Niambie ft. Dk. Kwenye Beat Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2017
Lyrics
Niambie ft. Dk. Kwenye Beat - David Wonder
...
Ahhhhhh Ahhhhh
David Wonder , DK Kwenye beat
Emb Records , 2000 and greatness
...
salaam salaam
nashukuru ndungu yangu umecome
ninavyo ishi mi nahisi nimejam ju maisha imesimama kama jam
nimejam nimejam
ach2a nikwambie nimejam
ju naona kwa wengine ni garam
saa hio mi nazidi kuumia binadam
ohh mi nasota tulia nikwambie
nakosa hata mboga na jirani asijue
ona vile ninasota tulia nikwambie
natamani hata soda duka ni nunue
sijazoea suti na tai
tofauti ya coffe na chai
nashindwa kwani mimi sifai
niambie........ehhh
Niambie nitangoja mpaka lini
Oh niambie nambie mimi
Oh niambie nitangoja mpaka lini
oh niambie , nambie mimi
Ju mashida yanisonga songa songa songa
na natamani kusonga songa songa songa
Ju mashida yanisonga songa songa songa
na natamani kusonga songa songa songa songa
...
Chukulia rahisi maombi hujibiwa
lakini ka macho maono hujibiwa
mwenye haki lazima kuchukiwa
subiri tu kidogo utafanya kufikiwa
si nilikosa na nikaongelewa
maskini wa Mungu nikachelelwa
nayo madharau na wengi nilipewa
nikaishi nikama napimiwa hewa na
lakini jibu nilipewa
mungu wangu hawezi chelewa
kosa langu lilisamehewa
roho nimejazwa mpaka nimelewa
nawe jibu utapewa
mungu wako hawezi chelewa
kosa lako litasamehewa
roho utajazwa mpaka utalewa
...
Niambie nitangoja mpaka lini
Oh niambie nambie mimi
Oh niambie nitangoja mpaka lini
oh niambie , nambie mimi
Ju mashida yanisonga songa songa songa
na natamani kusonga songa songa songa
Ju mashida yanisonga songa songa songa
na natamani kusonga songa songa songa songa
...
Yesu Kristo ata kushangazaga
Atakufanya utapaa juu ya anga gaga
maisha yako ataipanga gaga
Hadi mbinguni utapanda, utakaanga
wacha pressure gas cooker
utabarikiwa utashtuka
wacha pressure gas cooker,
utabarikiwa bro utashtuka
...
Ata come through huyu Yesu,
Story ni true, nitamgojea mimi
Ata come through huyuYesu
Story ni true, nitamgojea mimi