Nimesikia Sauti Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2021
Lyrics
Nimesikia Sauti - Martha Mwaipaja
...
Ooooh hallelujah,nimesikia sauti nyingi hilio niponya ni ya yesu ,,,,nimeambiwa habari nyingi hilio nivusha ni ya yesu,nimesikia sauti sana Mimi iliyoninganga moyo ni ya yesu,nimeambiwa vitu vingi sana nilipoambiwa na yesu nikapona aaah,,,yesu nitumaini,mahali pamepotesa tumaini ,,nilipasa sauti ili watu wanielewe ,akanielewa masiya tu,nikajatibu kutetea watu wajue,ajaniambia nimekutetea mwangu,akaniuliza unamuusikiliza nani,nisikilize mwangu utapona ,akasema ondoa kusikiliza wengine ukinisikilisa mimi utaishi, nimesikia sauti, za watu wengi lakini ya yesu ikaniponya ,,,,yeeeeeh nimesikia sauti nyingi ,ikiniambia iliyoniponya ni ya yesu ,nimeponwa ,nimesikia sauti nyingi ,sauti ya yesu iliyoniponya ni ya yesu,,,aaaah , Asante yesu wangu, umeponya moyo wangu baba, ooooohh hallelujah,yesu wewe ni wa wote ,naomba baba sikwakila wengi, wengi wamekosa pakuelekea wakikusikia wewe watapona watapona ,wameambiwa hawataweza kabisa ,wakikusikia masiya wataweza ,wameambiwa hanatumaini,ukisika kwao wataishi,uliposika ,Israel walitoka Misiri,uliposika Goliath aliangushwa, uliposika jushua akasimamisha jua akasikikana kwa wengine wataishi, uliposika Elia alishusha moto , uliposika Daniel hakuliwa na Simba,sikika kwa wa Tanzania wote yesu , sikika kwa mataifa yote waishi, eeeeeehh , nimesikia sauti nyingi imeniponya,ni ya yesu ,ningeenda wapi