Kwa msaada wa Mungu Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2009
Lyrics
Kwa msaada wa Mungu - Martha Mwaipaja
...
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Nashukuru kwa sababu tunaye baba mwenye huruma, anayetuhurumia tupitapo kwenye matatizo
Nashukuru kwa sababu tunaye baba mwenye huruma aliyesema tusifadhaike mioyoni mwetu
asingekua pamoja nasi nani angekua nasi,
asingekua mwenye huruma leo tungekuaje
asingetuhurumia baba nani angetushindia
asingekua mpole baba tungeenda kwa nani,
tupo hivi tulivyo kwa sababu ya baba
tupo hivi tulivyo kwa sababu ya Mungu
kwa msaada wa Mungu tunashinda yote eeh
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
kwa msaada wa Mungu tunashinda ya Dunia
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
hatukati tamaa kwa neema ya Mungu