Ntampata Wapi Lyrics
- Genre:Afropop
- Year of Release:2014
This song is not currently available in your region.
Try the alternative versions below.
Alternative versions:
Lyrics
Ntampata Wapi - Diamond Platnumz
...
SEARCH TOOLS
Ntampata Wapi lyrics
Sura yake mtaratib,
Mwenye macho ya aibu,
Kumsahau najaribu Ila namkumbuka sanaa.
Umbo lake mahbibu,
Kwenye maradhi alionitibu ,
Siri yangu mkarimu
Bado namkumbuka sana
Alionifanya silali (eh), jua kali (eh)
Nitafute tukale ,Lakini hata hakujali, darling"
Akatekwa na wale Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale Ila wala hakujali Darling, ah-aah
Ntampata wapi, kama yule? Niliompendaga sana
Ntampata wapi, kama yule? Nae anipende sana
Ntampata wapi, kama yule? Niliompendaga sana
Ntampata wapi, kama yule? Nae anipende sana
Aii-aii, nyota Nyota ndo tatizo langu Aii, nyota Mpaka nalia pekee yangu Aii, nyota Nyota ndio shida yangu Nyota Wamenizidi wenzangu Alidanganywa na wale (wale) Wenye pesa nyumba ghali (ghali) Mi kapuku hakunijali (jali) Akanimbia Alidanganywa na wale (wale) Wenye pesa nyumba ghali (ghali) Mi mnyonge hakunijali (jali) Akanikimbia Alionifanya silali (eh) jua kali (eh) Nitafute tukale Lakini hata hakujali, darling Akatekwa na wale (halo)
Alionifanya silali (eh) jua kali (eh)
Nitafute tukale
Ila wala hakujali Darling, ah-aah
Ntampata wapi? (Oh wapi?) Kama yule Niliompendaga sana
Ntampata wapi kama yule (oh sana) Nae anipende sana
Ntampata wapi, kama yule? (penda sana) Niliompendaga sana (
?