Relax Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
Lyrics
Relax - Christina Shusho
...
yeeeaaah yeah yeeeah. . .
oh relax oh relax
weeeh. ..
bwana atanibariki kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
atanipa nahitaji yangu kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
bwana atanibariki kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
atanipa nahitaji yangu kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
Nani apinge alichosema Mungu,
Nani alaani alichobariki Mungu,
hakuna awezaye kuzuia alichotenda Mungu,
na Kama kunapando lilopandwa na mwovu,
nang'oa, pando la mwovu me nang'oa
Kila andiko landikwa kwa hila nafuta
andiko la hila me nafuta
na Kama kunapando lilopandwa na mwovu,
nang'oa, pando la mwovu me nang'oa
Kila andiko landikwa kwa hila nafuta
andiko la hila me nafuta
imeandikwa nitakuwa kichwa so mkia,
wa kwanza so wa mwisho,
bwana atanibariki kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
atanipa nahitaji yangu kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
bwana atanibariki kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
atanipa nahitaji yangu kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
me narelax narelax oooh
mwenyewe amesema
me narelax narelax oooh
atanipa utajiri wake
me narelax narelax oooh
atanilisha Kama ndege angani
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
atanipamba Kama ua kondeni
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
yesu akisema atafanya
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
neno lake Ni amina na kweli
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
bwana atanibariki kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
atanipa nahitaji yangu kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
bwana atanibariki kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
atanipa nahitaji yangu kwa kadri ya utajiri wake
kwa kipimo Cha kujaa kusukwasukwa ata kumwagika
nangoja atimize leo
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
nangoja atimize leo
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
hiiii.... huuuu....
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
we wewe hooo.. yesu wee
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
yeeeeeeeeeee.....
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
hi ya wow wow wooo....
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
yesu weeee. ...
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)
me narelax narelax oooh
(narelax narelax)