Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2019

Lyrics

Tumepoteza ft. Maua Sama - Darassa

...

(Abbah)

Ah, I swear to God for my life

That I speak from my heart

Ushawai kupenda

Let me see your hands up

(Classic Music)

Ah, mwanga umeingia gizani

Nyota yetu inafifia angani

Ndoto zetu zinaishia njiani

Mapenzi yetu yako mashakani

Mapenzi ya vikwazo mitihani

Kila mmoja anaumia ndani

Tulivyo anza mwanzo sikudhani

Kama yangepotelea hewani

Kwako nilijifunza kupenda

Sikuwa na pumzi ata ya kuhema

Kuwa na wewe mazoea yakajenga

Ukafanya nikuwaze kila sehemu ninayo kwenda

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tunaenda wapi?

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tulikuwa handle

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tunaenda wapi?

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Ah, ule wakati hujui ushike wapi

Unafanya kitu moyo wako hautaki

Kujiuliza maswali, majibu hupati

Niya kutapa tapa kama mfa maji

Sometimes, hisia zinakudanganya

Unatanga na njia hujui la kufanya

Huwezi kukimbia unacho kipenda sana

Unabaki unaumia, akili inakuchanganya

Tunacheat wakati tunapendana

Tunapendana vipi tusipoaminiana

Mimi na wewe imebaki kuzoeana

Haya sio mapenzi, mapenzi ya kutesana

Mwanga umeingia gizani

Nyota yetu inafifia angani

Ndoto zetu zinaishia njiani

Mapenzi yetu yako mashakani

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tunaenda wapi?

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tulikuwa hapo

Yako wapi?

Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?

Yako wapi?

Mimi na wewe tunaenda wapi?

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Tumepoteza!

Tumepoteza mapenzi, tumepoteza

Ule wakati hujui ushike wapi

Unafanya kitu moyo wako hautaki

Kujiuliza maswali, majibu hupati

Niya kutapa tapa kama mfa maji

Things ain't gonna be the same again

Mambo yalivyokuwa mimi nawe

Ibaki stori ya kusimulia mapenz

Mambo yalivyokuwa mimi nawe

Things ain't gonna be the same again

Mambo yalivyokuwa mimi nawe

Ibaki stori ya kusimulia mapenz

Oooh yeah eeh

Yako wapi? (ooh beiby)

Yako wapi?(yako wapi?)

Yoh yako wapi?(no no no no no)

Yako wapi? (oooh beiby)

(Abbah)

More Lyrics from Darassa Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status