Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2020

Lyrics

Interlude Nyeusi - Weusi

...

GNAKO

Mmmmh Goncha Music Baby, Weusi aaaaii

Wanene sort it off

Una credit mtaa umezima data, Ufiki wami mzee mwisho mkata

Najiona vina ila vinaukata vibao vya weusi watoto vibao kata

Nipo na macret kwa bars wanayumba haswa kwetu mwembe yanga leo simba kapakatwa

Contract killer nobody safe top shatta, hatuitoi contact wala link kwa masaka


Wavivu wa kuchimba mtakunywa maji taka chukueni vitiki tunawapiga tiktaka

Tupo magetoni tuna cheka chris tucker,

Udaku namedia ndotumefikia hapa mmmh tunauza mziki

Mnauza na mwili pia na hizo picha za utupu mnaji brand dear

sitaki hizo meza zenye offer za beer kama

mipango hamna mimi na wakatia Mnachopenda

kuona tukipiga makasi wanafki mlale salama

naweka mpakanjia mkiacha kukamia mtaanza

Shika mia ukila na wakubwa siyo kufakamia


LORD EYEZ

Mmmmh yeeeaaah, Tuna set bars ingia mtaa kwa

mtaa single zimetosha album ziingie kitaa,

Uliimba nyimbo gani tena mbona kichaa au

unamzungumzia nani wewe ni hizi namba au ndo

walewale wewe niko najipanga, Hiyo hamna story

bingwa wa kujieleza na huyu Nai mbishi mbona

kama Nikki, Maujanja tuna supply wengine yeye

hafiki, Sisi tunaweka levels muziki na upimp

muziki ni audio au video unauliza huyu nae

mulemule kila siku vilevile y'all sound the


same mnaimba vilevile, Hamna jipya kiki zenu ni

zilezile hamna MC kwenye MIC sahizi single

haijaisha insta unataka kutease mapichapicha

ndokitu mnauza siku hizi, Baba wa hardcore

mnatamani mnizibe koo kweli hardcore kilingi ka

kkoo Baba wa ukoo nawaaga kisosoo na leo

nawaachana hamna nafasi kubanana, Fake kwa

wasichana kwa kina mama pata laana wallet

zinapanda mbele yetu hung’oi mwana chupi

ndoinabana hewani haujanenepa bana


NIKI WA PILI

Yeah I’m a big michi demu dichi simweki ndichi

Mi ni ticha nikivua sipigi ndichi, na siachi pengo

nikifa nishaziba nchi niite saa wasalimie

masnichi, naskia kutukumbusha mmekula nia, 0k

Sisi tunakula bia, mko far tupo near, na msipokaza

tutawakazia, wana tungo nyingi zimekosa manii,

hazitungi mimba zimeshika money, tukipigwa kiss

wana kisirani, wenye kismati tupo kisimani, demu


kama sio mkali anakamia, ukiona mwana

anajisifu ana kibamia, ndoto yako kama huioti

umeilalia, moja yako kama haikai umeikalia Sipigi

tena shiti siku izi ni visigino, Sina watu fake

tabasamu ni orginal, tukutane banki ni macheki

namwaga wino, mambo ni ufundi ka wajina

wangu robinho , mnunulie nguo tutamvua

akishavaa, tukishasimama tutasema baby kaa, na

tukishachoka tutapanda lako car, endelea

kuvimba ukipita kwa kitaa


JOH MAKINI

Jinsi niko nyeupe kama Sina loa, papa don

mwamba wanasaka madoa, wanaulizia ndoa,

papa zinaloa, kapa nawatoa, kapa ni kupoa,

mambo ni ya moto, hakuna kupoa, huku

wanataga, pale wanatotoa, nachukua mazaga,

naenda kupoa, biti linasaga, flow zinakoboa, we

hujui atura, kuchachu nitokako uliza waturu, na

kuhusu kuwamada Sina shaka Zulu, na ukiingiwa

mashaka ujue ushajizuru, hio kama umepigwa

drip za mololo, hawatii mikono mikono mfololo,


na kwa hii mikono mfololoo, na kwa hii mikoni

kujeni msororo, hapa majembe yanatii mi ni

sororo, kata wenge mi ni cbg hushata, ukiulizwa

nani alikudondosha ni rapcha, ety hii ni kama ile ni

pacha, tunavyowaondoa kwenye ramani

departure, watamaduni si ndo tunatunza hii

culture, wape Habari wachuuzi halivuji pakacha,

malalamiko mengi mnaleta utata, mc(s) wenu

wakali tunapiga msasa.

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status