Mbilikimo Mkora Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2015
Lyrics
Mbilikimo Mkora - Kenrazy
...
Mbilikimo mkora
Kambiliki mbilikimo mkora
Madem washasorora dalili ya bakora so wananiita mbilikimo mkora
(Kambiliki mbilikimo mkora)
Madem washasorora dalili ya bakora so wananiita mbilikimo mkora
Tuko stage tumesimama wengi kama four line
Kucheki naona siz ya ogola msupa mfupi anaitwa zippora
Nikaenda straight alafu nkam hola
Naitwa ken ka walibora
Nimekua tu apa nyuma nkikusorora
Unangoja matatu za dandora
(Apana nangoja beshte yangu anaitwa rora)
Kunicheki fiti we ni ken razy
Eeh ule wa kofia na kaptura
Twende hivi down ata mtaa ucheki
Aaah hiyo ata si swali ata
Mi nani nkatia fora
Jina kubwa ata amesahau stori ya rora
Akaona nkinunua cd apo kwa chemist
(Aki we ken razy ni mbilikimo mkora)
Interview naulizwa ka izo nyimbo mi huroga ni true story ni vitu mhuota
Mi nawashow hizo nyimbo mi hubonya si hua zawasaidia sana kubonga
Niliamua badala ya niwe jambazi mkora
Kupora watu usiku na machorani job na mamora
Hiyo ni kuroga kuandika hizi ngoma
Kadem kamekam kunilimo
Kale kale
Anakaa ka mimo
Anasema ametoka tabora
All the way mbaka hapa kuniona
Ok. Unapenda movie
(Kwanza za kiushtua nazipenda sana)
Nikaeka kamasuyra badala ya horror
Aki we ken razy ni mbilikimo mkora
Kila siku jioni kasupu na kamtura
Tunaongrza vitambi
Nafanyafanya ngoma nipate madola
Kama kawaida ya mbilikimo mkora
(Kasupu na sembe ni kushiba msee)
By Ezra Manson