Nakuelewa Lyrics
- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2018
Lyrics
Nakuelewa - Maua Sama
...
ooh oyeyeeh
ouh yeih yeih yeih ayaya
hei uyauaah
siwezi ficha jungu lina linakaya
siri yanifukuta vibaya
mi tapa tapa nmelowa ile mbaya
nyaka nyaka moyo umedesire
oooh nikikupa moyo basi usinlize
na kama ukinipa kweli usiniigizie
oouh baki nami kwenye mwanga na giza
usinpimie penzi ukinipa visa
mwenzako nakuelewa
ooh ayeye yah
nakuelewa
ouh yei yei ayaya
mwenzako nakuelewa
hey oyey auuuh
nakuelewa
uyeye oyaah
ukiweza kunifanya nisije jutia ni thamani zaidi ya gari
ukiweza penzi letu kulipalilia utavuna raha darling
darling darling oh nanana
hey baby baby oh nanana
hizo mboni kama umeniita
kidali ulivyo chanika hisia umezifunika umeninogea
ouh nikikupa moyo basi usinlize
na kama ukinipa kwel usiniigizie
ouh baki nami kwenye mwanga na giza yei
usinipimie penzi ukinipa visa
mwenzako nakuelewa
ouh oyeye
nakuelewa
ouh yei yei yei oyeye
mwenzako nakuelewa
hey oyeyeeh nakuelewa
auyeeh oyeyeh
mwenzako nakuelwa
nakuelewa
mwenzako nakuelewa
ouh nikikupa moyo basi usinlize na kama ukinipa kweli usiniigizie