Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2020

Lyrics

Unaionaje ft. Harmonize - Harmonize

...

Hahahahaaaa

Touch

Ujue mi sinaga swaga kabisa

Haa kumekucha masela hebu tembezeni stick

Manaake mziki hauna hela ila hela kuipata mziki

Sikufichi ama wapendo wanakoma

Asa ndo naua bendi maana natoboa kila ngoma

Wananisoma ngoma mbomba kwa

Touch

Walonambia nile kona nkawambia wale penalti

Toka jiji la samaki mama aliponipa siri kuwa biashara fasta hakuna mwanaharakati tajiri

Pili watu wa ajabu sana

Ila mi nna adabu sana

Mabest hapa ni kusoma mwana

Wasanii wanaroga sana

Kwa maana vibent vicheche

Wote tunampenda mungu maana mpaji hapingiki sa vipi anaekupa hai huku akisema mungu akubariki

Siwezi kushiriki kwenye dhambi yako ili ukatwe mikono kisha ule kwa macho

Nsipovuja jasho walokuwa nyuma yangu watakula wapi

Hapo ndo naamin kuwa mwenye huruma hanaga bahati

Huu ndo uwezo binafsi vijana mrelax

Nakuomba usimtusi baba kama hujui utakula wapi

Na hadith za sungura mi staki ee

Niletee hadithi za watoto wenye chura wa masaki na ukiskia nauza sura juu ya laki

Maana uhai ni faida ikiwa hasara ni nafsi

Usichoke kunjaa kunja ukujavyo mi ntatusua

Hizi juhudi so ndumba

Akishapanga apangavyo huwezi pangua

Asa temeke na ilala

Ha ha unaionaje

Eeaaa

Ase unaionaje

Hadi manzese mbagala

Ha ha unaionaje

Eeaa

Ase unaionaje

Ha chuki huletwa na wivu na kushushiana hadhi na rafiki wa karibu ndo atakuharibia kazi

Atakupindishia michongo na kukuvunjia nazi

Bongo ukifanikiwa unachukiwa waziwazi ila sisi kazi kazi

Wengine tumetoka kwenye msoto

Kuoga mpaka tushikiwe viboko naona umeandaa mkaa

Afu hauna kiberiti we mtoto

Chokoza wana wakuwashie moto

Hebu nipitie kushoto maana unanichukia hata hunisaidii

Unantukana hata sifatilii sizimii chuki maana mwisho kuroga

Mwisho unakuwa mchawi kwa maana utamu kunoga

Unaogopa nini toba we binti acha uoga

Mbona una guu la bia halafu nguvu ni za soda

Sura haishiki poda unasifiwa na mawaki

Kisha unaota mapembe utadhani unakula nyati

Binafsi

hadith za sungura mi staki ee

Niletee hadithi za watoto wenye chura wa masaki na ukiskia nauza sura juu ya laki

Maana uhai ni faida ikiwa hasara ni nafsi

Aah

Usichoke kunjaa kunja ukujavyo mi ntatusua

Hizi juhudi so ndumba

Akishapanga apangavyo huwezi pangua

Aa kinondoni nyamala

Ha ha unaionaje

Eeaaa

Ase unaionaje

Aa kigamboni kimara

Ha ha unaionaje

Eeaa

Ase unaionaje

Chuki nichukie ila roho yangu niachie

Aaaya ee

Mwenzangu na mie why

Nikipata we uchukie

Nahustle kivyangu nipate shiba

Yeeah nipate shiba

Cha mtu so changu mwiko kuiba

Yeeah mwiko kuiba

Aah sihofii wanafki na chuki za binadamu na maneno so trafki kwahyo hayanisimamish kwenye jamu

Usichoke we kunjaa kunja ukujavyo mi ntatusua

Hizi juhudi so ndumba

Akishapanga apangavyo huwezi pangua

Aa kinondoni nyamala

Ha ha unaionaje

Eeaaa

Ase unaionaje

Aa kigamboni kimara

Ha ha unaionaje

Eeaa

Ase unaionaje

(Msodoki na kondeboy) x3


ahahahahaaaa

Pambana na hali yako

Its another one


Ahahahahaaaa

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status